NA LEONARD ONYANGO JUMLA ya watu 5,801 wamejitokeza kuwania viti mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 kama wagombea...
NA ALEX KALAMA BARAZA la Kitaifa la kudhibiti maambukizi ya Ukimwi, limehimiza Wakenya kuendelea kujitokeza kupimwa hali...
NA KENYA NEWS AGENCY MBUNGE wa Mathira, Bw Rigathi Gachagua, amemtetea Naibu Rais William Ruto kwa kumteua kama mgombea mwenza wake...
NA CHARLES WASONGA HUENDA karatasi ya kupiga kura ya urais ikawa ndefu zaidi katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022 ikiwa Tume Huru ya...
NA WINNIE ATIENO MVUTANO kati ya gavana wa zamani wa Nairobi, Bw Mike Sonko, na Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, Bw Noordin Haji,...
NA CHARLES WASONGA MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga imempiku kwa umaarufu mwaniaji wa urais wa...
NA BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Kenya Kwanza Alliance, unaoongozwa na Naibu Rais William Ruto, utalazimika kupanga upya mikakati yake...
NA FARHIYA HUSSEIN HATUA ya kinara wa chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, kutangaza kuwa atawania urais na kujiondoa katika muungano wa...
NA JURGEN NAMBEKA MFANYABIASHARA na mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Safina amemteua wakili Willis Otieno, kuwa mgombea mwenza wake...
NA COLLINS OMULLO MASHIRIKA ya kijamii nchini, yamesema kwamba kuna hatari ya mabilioni ya pesa haramu kutumiwa kwenye kampeni za...
NA TAIFA RIPOTA MATUMAINI ya wengi kuwa Bi Martha Karua atasaidia kupigana na ufisadi na kuhakikisha utawala wa sheria umerudishwa...
NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Mathira, Rigathi Gachagua ameahidi wakazi wa eneobunge hilo kwamba atawasaidia kusaka kiongozi...