• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 4:31 PM

IEBC: 5,800 kuwania viti bila vyama

NA LEONARD ONYANGO JUMLA ya watu 5,801 wamejitokeza kuwania viti mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 kama wagombea...

Ukimwi: Himizo watu waendelee kubaini hali zao

NA ALEX KALAMA BARAZA la Kitaifa la kudhibiti maambukizi ya Ukimwi, limehimiza Wakenya kuendelea kujitokeza kupimwa hali...

Gachagua amtetea Ruto kwa kumteua mgombea mwenza

NA KENYA NEWS AGENCY MBUNGE wa Mathira, Bw Rigathi Gachagua, amemtetea Naibu Rais William Ruto kwa kumteua kama mgombea mwenza wake...

Jumla ya watu 55 wanataka kuwania urais

NA CHARLES WASONGA HUENDA karatasi ya kupiga kura ya urais ikawa ndefu zaidi katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022 ikiwa Tume Huru ya...

Malumbano ya Sonko, Haji yazidi kutokota

NA WINNIE ATIENO MVUTANO kati ya gavana wa zamani wa Nairobi, Bw Mike Sonko, na Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, Bw Noordin Haji,...

Raila kifua mbele kura ya maoni ya TIFA

NA CHARLES WASONGA MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga imempiku kwa umaarufu mwaniaji wa urais wa...

Karua alazimisha Ruto kufanya hesabu upya

NA BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Kenya Kwanza Alliance, unaoongozwa na Naibu Rais William Ruto, utalazimika kupanga upya mikakati yake...

Kalonzo atatiza kampeni za Sonko kwa kuhepa Raila

NA FARHIYA HUSSEIN HATUA ya kinara wa chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, kutangaza kuwa atawania urais na kujiondoa katika muungano wa...

Wanjigi achagua wakili mwaniaji mwenza

NA JURGEN NAMBEKA MFANYABIASHARA na mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Safina amemteua wakili Willis Otieno, kuwa mgombea mwenza wake...

Hofu pesa za wizi zinapaka tope uchaguzi

NA COLLINS OMULLO MASHIRIKA ya kijamii nchini, yamesema kwamba kuna hatari ya mabilioni ya pesa haramu kutumiwa kwenye kampeni za...

Historia yatia Karua doa kuhusu kupiga vita ufisadi serikalini

NA TAIFA RIPOTA MATUMAINI ya wengi kuwa Bi Martha Karua atasaidia kupigana na ufisadi na kuhakikisha utawala wa sheria umerudishwa...

Rigathi Gachagua aahidi kuwaambia wakazi wa Mathira ‘kiongozi bora wa kunirithi’

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Mathira, Rigathi Gachagua ameahidi wakazi wa eneobunge hilo kwamba atawasaidia kusaka kiongozi...