• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 9:12 AM

Hofu PAA itakoroga UDA Pwani katika nyadhifa nyingi

NA VALENTINE OBARA UAMUZI wa Chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kujiunga na Muungano wa Kenya Kwanza, unatarajiwa kuibua vita vya...

Kamati ya Wekesa kumpokeza Raila majina matatu Alhamisi achague mmoja

NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga atapokea majina matatu ya watu wanaopendekezwa...

ODM yapuuza hatua ya Kingi kuitoroka akielekea kwa Ruto

WINNIE ATIENO NA VALENTINE OBARA CHAMA cha ODM kimepuuza hatua ya Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, kuhamisha chama chake cha Pamoja...

Mbogo kudai ‘nusu mkate’ kwa Sonko

NA FARHIYA HUSSEIN MBUNGE wa Kisauni, Bw Ali Mbogo, amefafanua atataka mgao sawa wa mamlaka kati yake na aliyekuwa Gavana wa Nairobi...

Uhuru ahimizwa akamnadi Raila Mlima Kenya

NA KASSIM ADINASI MBUNGE wa Ugenya, David Ochieng, ambaye pia ni kiongozi wa chama cha MDG, amemrai Rais Uhuru Kenyatta kuanzisha...

Kalonzo kupewa mwelekeo baada ya matokeo ya kamati ya Azimio

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kathiani Robert Mbui amesema chama cha Wiper kitatoa msimamo wake kuhusu kinara wake, Kalonzo Musyoka matokeo...

Mkataba sasa waanika unafiki wa Naibu Rais

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto anapanga kuingilia uhuru wa Idara ya Mahakama kwa kugawa nyadhifa katika idara hiyo endapo...

Washirika Azimio wakaba Raila koo

NA LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga anaonekana kukabwa koo na washirika wake, hali ambayo imeanza...

Alfred Mutua asema Kenya Kwanza nd’o mpango mzima

NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Machakos Alfred Mutua ametetea vikali hatua yake ya kujiunga na muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Naibu...

Mutua, Kingi watafuta hifadhi kwa Ruto, wadai kuumizwa katika Azimio

NA WAANDISHI WETU MAGAVANA Alfred Mutua wa Machakos na mwenzake wa Kilifi, Amason Kingi jana Jumatatu walihama muungano wa Azimio...

ODM, DAP-K wazozania Nyanza, Magharibi

OKONG’O ODUYA na KASSIM ADISANI CHAMA cha ODM kinakabiliwa na kibarua kipya katika ngome zake maeneo ya Magharibi na Nyanza, baada ya...

Junet apuuza madai ya mvutano katika kamati ya kuteua naibu

NA CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Junet Mohamed amepuuzilia mbali madai ya kuwepo kwa mgawanyiko...