• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:58 PM

11 kupambana mmoja wao awe mgombea mwenza wa Raila

NA CHARLES WASONGA IDADI ya wanaosaka nafasi ya kuteuliwa mmoja wao awe mgombea mwenza wa Raila Odinga katika kinyang’anyiro cha urais...

Ruto ameingia baridi – Mucheru

ONYANGO K’ONYANGO Na SILAS APOLLO WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia (ICT) Joe Mucheru jana Ijumaa alishambulia Naibu wa Rais William...

Sonko aanza ngoma Mombasa

NA WINNIE ATIENO KINARA wa Wiper Bw Kalonzo Musyoka amekana madai kwamba ananuia kuvuruga kura za mwaniaji wa Urais kupitia muungano wa...

Mung’aro ajisifu ndiye kipenzi cha wapigakura wa Kilifi

NA ALEX KALAMA MWANIAJI WA KITI cha ugavana wa Kilifi kupitia chama cha ODM, Bw Gideon Mung'aro, amepinga dai kwamba wagombeaji wengine...

Watu 8 waorodheshwa kupigwa msasa kubaini anayefaa kuwa mgombea mwenza wa Raila

NA CHARLES WASONGA KAMATI maalum iliyotwikwa jukumu la kupendekeza mtu anayefaa kuwa mgombea mwenza wa mgombea wa urais wa muungano wa...

Wawaniaji huru wa urais ni vibaraka wa serikali – Mudavadi

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi amedai huenda idadi kubwa ya wawaniaji huru...

Wawaniaji Mlima Kenya wahofia kupokonywa tikiti ndani ya Azimio

NA MWANGI MUIRURI WAWANIAJI wa viti mbalimbali kupitia vyama tanzu vya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya katika eneo la Mlima Kenya...

Siku 96 Uhuru kujikuna kichwa kabla kustaafu

NA LEONARD ONYANGO HUKU muda wa Rais Uhuru Kenyatta madarakani ukielekea kutamatika, kiongozi wa taifa ana siku 96 zinazotajwa na...

Wagombeaji huru waungana

NA WINNIE ATIENO WAGOMBEA huru takriban 100 wa viti tofauti vya kisiasa katika Kaunti ya Mombasa, wameunda muungano ili kupata nafasi...

Mung’aro abanwa kuhusu uteuzi wa mwaniaji mwenza

MAUREEN ONGALA NA ALEX KALAMA ALIYEKUWA Waziri Msaidizi wa Ugatuzi, Bw Gideon Mung’aro, anakabiliwa na changamoto ya kuamua...

Uhuru aibua mbinu mpya kuzima Ruto

ONYANGO K’ONYANGO NA MWANGI MUIRURI MRENGO wa Rais Uhuru Kenyatta katika Azimio umebuni mikakati mipya ya kujaribu kuzima ushawishi wa...

Hila ya Ruto kumtetea Kalonzo

NA BENSON MATHEKA NAIBU RAIS William Ruto amezua mdahalo kwa kumtetea kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kuteuliwa mwaniaji...