NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA Waziri wa Maji, Sicily Kariuki ambaye alikuwa anamezea mate wadhifa wa ugavana Nyandarua kwa tikiti ya chama...
NA LUCY MKANYIKA MBUNGE wa Mwatate, Bw Andrew Mwadime, amekashifu Chama cha Communist (CPK) kwa kujiunga na Naibu Rais William...
NA LEONARD ONYANGO KUSHINDWA kwa Gavana wa Kilifi Amason Kingi na mwenzake wa Machakos Dkt Alfred Mutua kuondoa vyama vyao kutoka Azimio...
NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga atazoa kura nyingi jijini Nairobi iwapo Uchaguzi Mkuu...
NA ONYANGO K’ONYANGO NAIBU Rais William Ruto na mgombea urais kwa tikiti ya Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga sasa wamelazimika...
NA KALUME KAZUNGU SHINIKIZO zimezidi kutolewa kwa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya kumteua kiongozi wa NARC Kenya, Bi Martha Karua,...
NA WINNIE ATIENO USHINDANI wa ugavana katika Kaunti ya Mombasa utakuwa mkali kati ya vyama viwili tanzu vya Muungano wa Azimio la Umoja...
NA LUCY MKANYIKA CHAMA cha Communist Party of Kenya (CPK) kimemkosoa Mbunge wa Mwatate, Bw Andrew Mwadime, kukihama dakika za mwisho na...
NA BRIAN OCHARO VIONGOZI wa ODM katika Kaunti ya Mombasa, wamejitosa katika mjadala kuhusu utafutaji wa mgombea mwenza wa kinara wa...
NA SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Narc-Kenya, Martha Karua alikuwa na wakati mgumu kutuliza umati uliojitokeza kumsikiliza kinara wa ODM,...
NA JAMES MURIMI MWANIAJI wa urais wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amesisitiza kuwa muungano huo utasimamisha mwaniaji mmoja...
ONYANGO K'ONYANGO NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ameonekana kuwachezea shere mahasla kwa kuahidi kuwapa nyadhifa serikalini...