• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 11:38 AM

Sicily Kariuki adinda kumfanyia kampeni gavana Kimemia

NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA Waziri wa Maji, Sicily Kariuki ambaye alikuwa anamezea mate wadhifa wa ugavana Nyandarua kwa tikiti ya chama...

Mbunge akosoa vikali hatua ya chama kwa kujiunga na Ruto

NA LUCY MKANYIKA MBUNGE wa Mwatate, Bw Andrew Mwadime, amekashifu Chama cha Communist (CPK) kwa kujiunga na Naibu Rais William...

Jinsi walivyojifunga jela kwa kuabiri basi la Azimio

NA LEONARD ONYANGO KUSHINDWA kwa Gavana wa Kilifi Amason Kingi na mwenzake wa Machakos Dkt Alfred Mutua kuondoa vyama vyao kutoka Azimio...

Kura ya maoni yamweka Raila mbele ya Ruto jijini Nairobi

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga atazoa kura nyingi jijini Nairobi iwapo Uchaguzi Mkuu...

Wawaniaji huru watia Ruto, Raila tumbojoto

NA ONYANGO K’ONYANGO NAIBU Rais William Ruto na mgombea urais kwa tikiti ya Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga sasa wamelazimika...

Presha yazidi tiketi ya urais ya Azimio iwe Raila-Karua

NA KALUME KAZUNGU SHINIKIZO zimezidi kutolewa kwa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya kumteua kiongozi wa NARC Kenya, Bi Martha Karua,...

Ni Nassir vs Sonko kivumbi Mombasa kukabana koo – Ripoti

NA WINNIE ATIENO USHINDANI wa ugavana katika Kaunti ya Mombasa utakuwa mkali kati ya vyama viwili tanzu vya Muungano wa Azimio la Umoja...

CPK yabaki kwa mataa baada ya Mwadime kuhama

NA LUCY MKANYIKA CHAMA cha Communist Party of Kenya (CPK) kimemkosoa Mbunge wa Mwatate, Bw Andrew Mwadime, kukihama dakika za mwisho na...

Wito watolewa Joho awe mgombea-mwenza wa Raila

NA BRIAN OCHARO VIONGOZI wa ODM katika Kaunti ya Mombasa, wamejitosa katika mjadala kuhusu utafutaji wa mgombea mwenza wa kinara wa...

Nitaongoza Wakenya kupata uhuru wa kiuchumi – Raila

NA SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Narc-Kenya, Martha Karua alikuwa na wakati mgumu kutuliza umati uliojitokeza kumsikiliza kinara wa ODM,...

Raila asisitiza Azimio itakuwa na mwaniaji mmoja kila kiti

NA JAMES MURIMI MWANIAJI wa urais wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amesisitiza kuwa muungano huo utasimamisha mwaniaji mmoja...

Ruto aenda kinyume na ahadi ya mahasla

ONYANGO K'ONYANGO NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ameonekana kuwachezea shere mahasla kwa kuahidi kuwapa nyadhifa serikalini...