• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 AM

Pasta amezea mate kiti cha Wetang’ula

NA BRIAN OJAMAA MHUBIRI katika Kaunti ya Bungoma, ambaye pia ni afisa wa chama cha kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda Kenya (KNCCI)...

Nassir na Omar walenga wawaniaji wenza wa kike

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita, Bw Abdulswamad Nassir, na aliyekuwa seneta wa Mombasa, Bw Hassan Omar, wanatarajiwa kuteua wanawake...

Joho aapa kuzima Sonko Mombasa

NA ANTHONY KITIMO GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, amepuuzilia mbali ujio wa aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, kwa siasa za...

Uhuru na Ruto walimana kuhusu shida za Wakenya

NA CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta na naibu wake, William Ruto walilaumiana Jumapili kuhusu kilichosababisha tofauti kati...

Raila arai wakazi wa Mlima Kenya kwa kuahidi kuimarisha kilimo

NA IRENE MUGO MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, Jumapili alirai wapigakura wa eneo la Mlima Kenya...

Tiketi yake Raila na Karua yabisha hodi

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI urais wa Azimio la Umoja One Kenya Alliance, Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wanaripotiwa kukubaliana...

Kingi bila hiari kubanana na Joho ndani ya Azimio

MAUREEN ONGALA NA VALENTINE OBARA UBABE wa kisiasa kati ya Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, na mwenzake wa Mombasa, Bw Hassan Joho,...

‘Jungle’ Wainaina ateuliwa kinara wa IPLF kuangazia maslahi ya wagombea wa kujitegemea

NA LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wapatao 300 wanaotafuta nafasi za kisiasa wamejipanga katika kikundi cha wawaniaji wa kujitegemea ili...

Nderitu akatalia mbali ombi la PAA na MCCP la kutaka kujiondoa kutoka Azimio

NA CHARLES WASONGA MSAJILI wa Vyama vya Kisiasa Anne Nderitu amakataa maombi ya vyama vya Maendeleo Chap Chap (MCCP) na Pamoja African...

Kingi asema ameanza harakati ya kujiondoa katika Azimio

NA WINNIE ATIENO CHAMA cha Pamoja African Alliance, kinachohusishwa na Gavana wa Kilifi, Amason Kingi, kinapania kujiondoa kwenye...

Kalonzo motoni kusukuma Sonko

NA WINNIE ATIENO KIONGOZI WA chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, anazidi kulaumiwa na wanasiasa Mombasa kwa kumruhusu aliyekuwa gavana...

Ashuu ashusha pumzi kwa muda

NA BRIAN OCHARO JOPOKAZI la kutatua mizozo ya vyama vya kisiasa limesimamisha kwa muda uamuzi wa chama cha ODM kumteua Bi Zamzam Mohamed...