• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Ruto awanyonga Musalia, Wetangula

NA MARY WANGARI VYAMA vikuu vya kisiasa eneo la Magharibi mwa Kenya vya Amani National Congress (ANC) cha Musalia Mudavadi na Ford Kenya...

Kibwana alia kuwekewa vizingiti katika kampeni za Azimio Ukambani

NA CHARLES WASONGA GAVANA wa Makueni Kivutha Kibwana amejiondoa kutoka shughuli za kuvumisha muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya...

Raila asukumwa na washirika wake

NA JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga amesalimu amri ya washirika wake katika muungano wa Azimio kuhusu wito kwa wafuasi wake...

Raila apokonywa mamlaka ya kuteua mgombeaji mwenza wake

NA CHARLES WASONGA MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga sasa amepokonywa mamlaka ya kuamua ni nani...

Helikopta yaibua msisimko katika kampeni za Muthama

NA STEPHEN MUTHINI MWENYEKITI wa UDA na mwaniaji wa kiti cha Ugavana wa Machakos Johnstone Muthama, amekuwa akidhihirisha ukwasi wake...

Shahbal avunja nyoyo za wafuasi kwa kujiondoa uchaguzini

NA WINNIE ATIENO SIKU chache baada ya kujiuzulu kugombania ugavana wa Mombasa, Suleiman Shahbal aliyeashiria angesimama kama mgombeaji...

Ukoo wa Jaramogi wavuna tiketi za ODM kuwania vyeo Agosti

NA CHARLES WASONGA UKOO wa aliyekuwa makamu wa kwanza wa rais, Jaramogi Oginga Odinga umevuna pakubwa katika kupata tiketi za ODM...

Tatueni shida za wananchi badala kunilaumu, Uhuru aambia naibu rais

NA WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta mnamo Jumatano alimtaka Naibu Rais William Ruto kubuni suluhisho kwa changamoto zinazowakumba...

Vurugu zasitisha mchujo wa PAA kukiwa na madai ya mapendeleo

NA MAUREEN ONGALA MCHUJO wa chama cha Pamoja African Alliance (PAA) ulisimamishwa katika baadhi ya vituo baada ya kutokea vurugu, kukiwa...

Mchujo: Majeruhi wa UDA, ODM watoroka

NA WAANDISHI WETU WAWANIAJI wengi walioshindwa kwenye chaguzi za mchujo zilizokamilika majuzi katika vyama vya UDA na ODM wameamua...

Raila na Ruto kuamua gavana ajaye wa Meru

NA GITONGA MARETE HUENDA Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga wakaamua yule atakayeibuka mshindi kwenye...

MAKALA MAALUM: Jinsi Ruto anavyopanga kuuzima umaarufu wa marehemu Moi

NA ERIC MATARA ALIYEKUWA Rais wa Kenya hayati Mzee Daniel Arap Moi alitawala kwa miaka 24 huku akionyesha ubabe, kwenye serikali yake na...