• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 9:50 AM

Pigo kwa Sossion akizama mchujoni

NA VITALIS KIMUTAI KATIBU mkuu wa zamani wa Chama cha Kitaifa cha Walimu nchini (KNUT) Bw Wilson Sossion amepokea pigo kuu kisiasa,...

Wingi wa washindani wa ugavana Vihiga wavurugia ANC hesabu

NA DERICK LUVEGA JUHUDI za chama cha Musalia Mudavadi, ANC, kunyakua kiti cha ugavana katika Kaunti ya Vihiga kwa mara ya kwanza tangu...

Sura Mpya Old Town kiti cha MCA yawapa wakazi matumaini

NA FARHIYA HUSSEIN BAADHI ya wakazi wa Old Town katika kaunti ya Mombasa, wameelezea matumaini yao kufuatia ushindi wa kiongozi mpya...

Mithika Linturi ateua mgombeaji mwenza

NA GITONGA MARETE SENETA wa Meru Mithika Linturi ameteua wakili mwanamke kuwa mgombea mwenza wake katika maandalizi ya kushindana na...

Bahati itaendea nani?

MWANGI MUIRURI Na BENSON MATHEKA SUALA la mgombea mwenza wa kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga katika Azimio la Umoja One Kenya...

Patrick ‘Jungle’ Wainaina kuwania ugavana kwa tiketi ya kujitegemea

NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika, Bw Patrick 'Jungle' Wainaina, amesema atawania kiti cha ugavana katika kaunti ya Kiambu akitumia...

PDP: Obado asalia mpweke wawaniaji wakikwepa chama

NA IAN BYRON GAVANA wa Migori Okoth Obado, anayekabiliwa na kashfa kadha, anajikuna kichwa kuhusu mwelekeo wa kisiasa anaofaa kuchukua,...

Muturi pabaya DP mivutano ikizidi

NA COLLINS OMULO VITA vya ubabe ndani ya chama cha Democratic Party of Kenya (DP), vimechukua mwelekeo mpya huku Spika wa Bunge la...

Mbunge ataka viongozi Pwani waunge PAA

NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Magarini Bw Michael Kingi amewataka viongozi wa Pwani kuunga mkono chama cha pwani cha Pamoja African...

Mbogo adai Sonko ni ‘mpita njia’ tu

NA WINNIE ATIENO UTATA wa tikiti ya mwanasiasa atakayepeperusha bendera ya Wiper katika kura ya ugavana wa Mombasa unaendelea kutokota...

Atwoli abashiri Raila atabwaga Ruto debeni

NA SHABAN MAKOKHA KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi nchini (COTU), Francis Atwoli amewataka wakazi wa Magharibi mwa Kenya...

Mikakati ya Uhuru ‘kukomboa’ Mlima

NA MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta ameweka mikakati thabiti ‘chini ya maji’ kuhakikisha kwamba amelinasua eneo la Mlima Kenya...