• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Walioanguka mchujo UDA kutozwa hadi Sh200,000

NA MARY WANGARI WAGOMBEAJI wa United Democratic Alliance (UDA) wanaopinga matokeo ya kura za mchujo zilizofanyika Alhamisi, sasa...

Miamba wabwagwa mchujoni

NA WAANDISHI WETU WANASIASA wenye uzoefu mkubwa na washiriika wa Naibu Rais William Ruto ni miongoni mwa waliobwagwa katika kura za...

Wiper yaahirisha mchujo kuruhusu maelewano

Na PIUS MAUNDU HATUA ya kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, kubuni maelewano baina ya wawaniaji wanaowania nyadhifa mbalimbali kwa...

Mchujo: Joho akosoa msimamo wa Shahbal

Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa Hassan Joho amewataka wanasiasa wanaowania tiketi ya ODM kukubali uamuzi wa chama kuteua...

Vilio, ngumi na hasira UDA ikiandaa mchujo

NA WANDISHI WETU UCHAGUZI wa mchujo wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) cha Naibu Rais William Ruto, jana ulikumbwa na...

Azimio waweka mikakati ya kumvumisha Raila magharibi

NA KENYA NEWS AGENCY VIONGOZI wa Azimio la Umoja, One Kenya kutoka Magharibi mwa Kenya, wanatarajiwa kumfanyia kampeni mgombeaji urais...

Wawaniaji walia hakuna demokrasia kwa mchujo

NA WANDISHI WETU SHUGHULI ya mchujo katika vyama vikubwa vya kisiasa imekumbwa na utata huku baadhi ya wawaniaji wakilia kuchezewa...

Anataka tu kura, hana haja na maslahi ya wananchi, Mbadi amkashifu Ruto

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wachache Bungeni John Mbadi amemshtumu Naibu Rais William Ruto kuwa kuwahadaa Wakenya kwamba anajali...

Mwaniaji awataka maajenti wa UDA wawe macho mchujoni

Na LAWRENCE ONGARO MAAJENTI zaidi ya 300 wa kulinda kura za mchujo za uteuzi wa ugavana Kiambu walipokea hamasisho jinsi ya kusimamia...

Sijajiondoa, nitawania tiketi ya UDA ugavana Kiambu – ‘Jungle’ Wainaina

Na LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bw Patrick 'Jungle' Wainaina amesema bado yupo kwenye kinyang'anyiro cha mchujo kwa tiketi ya...

Ni midume tupu katika muungano wa Ruto

BENSON MATHEKA Na JURGEN NAMBEKA NAIBU RAIS William Ruto jana alitia saini mkataba wa ushirikiano na vyama 12 chini ya Muungano wa Kenya...

Otuoma anyakua tikiti ya ODM kwa ugavana Busia

NA OKONG'O ODUYA ALIYEKUWA mbunge wa Funyula, Dkt Paul Otuoma atapeperusha bendera ya ODM kuwania kiti cha ugavana Busia, baada ya...