• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 10:55 AM

Jimi Wanjigi amtaka Rais Kenyatta ajitetee kuhusu ‘kashfa’ ya Sh25.2 trilioni

NA MWANGI MUIRURI [email protected] MWANIAJI wa urais kwa tiketi ya chama cha Safina Bw Jimi Wanjigi, Jumamosi alimtaka...

Sipangwingwi: Washirika wa Ruto wakaidi NCIC

NA WINNIE ONYANDO WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto wamekaidi serikali wakisema hawatakoma kutumia maneno yaliyopigwa marufuku na...

Rais apoteza washirika wake wakuu kwa Ruto

NA CECIL ODONGO RAIS Uhuru Kenyatta ameonekana kusalia mpweke katika eneo la Mlima Kenya baada ya waliokuwa washirika wake wakuu wa...

Ruto akaidi NCIC, atoa wimbo wa ‘Sipangwingwi’

NA WINNIE ONYANDO NAIBU wa Rais, William Ruto amekaidi amri ya Tume ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa (NCIC) baada ya kutoa wimbo ambao...

Mtego wa Raila katika Azimio

NA LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa zaidi ya vyama 20 vilivyo katika Azimio la Umoja-One Kenya wamefungwa ndani ya muungano huo na...

Msisimko Mlima Kenya Spika Muturi akizungumza lugha ya mahasla

NA MWANGI MUIRURI [email protected] HATUA ya Spika wa bunge la kitaifa Justin Bedan Muturi ya kujiunga na mrengo wa...

Mvurya ampigia naibu wake debe

NA WINNIE ATIENO GAVANA wa Kwale Salim Mvurya amewasihi wakazi kumpigia kura naibu wake Bi Fatuma Achani akisema atamaliza miradi yote...

NCIC yapiga marufuku baadhi ya maneno na msamiati katika muktadha wa siasa

NA WINNIE ONYANDO TUME ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa (NCIC) Ijumaa ilitoa orodha ya maneo 23 ambayo yamepigwa marufuku katika hafla...

Mudavadi kuwa tu waziri katika serikali ya Ruto

NA ONYANGO K’ONYANGO KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, amepoteza nafasi ya kuwa mwaniaji mwenza wa Naibu...

Kibarua cha Azimio Mombasa

WINNIE ATIENO NA VALENTINE OBARA MUUNGANO wa Azimio la Umoja- One Kenya, unaoongozwa na kinara wa ODM Raila Odinga, unatarajiwa kukumbwa...

Ugavana Bonde la Ufa wanyima Ruto usingizi

NA ONYANGO K’ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto amejipata njiapanda huku wandani wake wanaomezea mate ugavana katika eneo la Bonde la...

Mngurumo wa Joho wakosekana siasani

NA MWANDISHI WETU USHAWISHI wa Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho, kwa siasa za Pwani na kitaifa kwa jumla umekosekana kwa takriban wiki...