NA GEORGE ODIWUOR KAMPENI za mwenyekiti wa ODM John Mbadi za kusaka ugavana wa Kaunti ya Homa Bay, zimepigwa jeki baada ya mshindani wake...
STANLEY KIMUGE NA BARNABAS BII CHAMA cha Jubilee kimeanza mchakato wa kufufua umaarufu wake eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kikilenga...
NA DERICK LUVEGA KINARA wa ANC Musalia Mudavadi hapo jana alimshambulia vikali Rais Uhuru Kenyatta kuhusu madai kuwa Naibu Rais Dkt...
NA KENYA NEWS AGENCY WANAWAKE na baadhi ya viongozi wa kidini kutoka Kaunti ya Kirinyaga wamepongeza hatua ya kiongozi wa Narc Kenya...
NA MWANGI MUIRURI WAZEE wa jamii za Mlima Kenya, Jumamosi, walimpa kibali Rais Uhuru Kenyatta kuziongoza jamii hizo kwa muda wa miaka...
CHARLES WASONGA NA SHABAAN MAKOKHA HATUA ya chama cha ODM chake mwaniaji urais wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga kutoa tiketi...
NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto yuko mbioni kuyeyusha ushawishi wa Azimio la Umoja Pwani kwa kushawishi vyama vya eneo hilo...
NA SIAGO CECE CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kinakabiliwa na mzozo mkubwa katika kaunti ya Kwale baada ya chama hicho kumpa...
NA BENSON MATHEKA MCHUJO wa vyama vya kisiasa unaotarajiwa Aprili umeanza kuzua tumbojoto miongoni mwa wawaniaji wanaohisi kwamba huenda...
NA BRIAN OJAMAA HUKU ikiwa imesalia miezi minne uchaguzi mkuu ufanyike, pambano kali la kisiasa linaendelea kujitokeza kati ya mirengo...
ONYANGO K’ONYANGO Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais Dkt William Ruto amelalamikia kile ambacho anadai ni afisi yake kunyimwa pesa kutoka...
NA ONYANGO K’ONYANGO CHAMA cha KANU sasa kimejitosa katika mjadala kuhusu uteuzi wa mgombea mwenza wa mwaniaji urais kwa tikiti ya...