• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Mpinzani wa Mbadi ajiondoa na kumuunga mkono ugavana Homa Bay

NA GEORGE ODIWUOR KAMPENI za mwenyekiti wa ODM John Mbadi za kusaka ugavana wa Kaunti ya Homa Bay, zimepigwa jeki baada ya mshindani wake...

Jubilee sasa mbioni kukabili UDA Bonde la Ufa

STANLEY KIMUGE NA BARNABAS BII CHAMA cha Jubilee kimeanza mchakato wa kufufua umaarufu wake eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kikilenga...

Mudavadi achemkia Uhuru kwa madai Ruto alitaka kumng’oa mamlakani

NA DERICK LUVEGA KINARA wa ANC Musalia Mudavadi hapo jana alimshambulia vikali Rais Uhuru Kenyatta kuhusu madai kuwa Naibu Rais Dkt...

Wanawake, viongozi wa kidini wapongeza Karua

NA KENYA NEWS AGENCY WANAWAKE na baadhi ya viongozi wa kidini kutoka Kaunti ya Kirinyaga wamepongeza hatua ya kiongozi wa Narc Kenya...

Rais akabidhiwa fimbo na wazee kuongoza Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI WAZEE wa jamii za Mlima Kenya, Jumamosi, walimpa kibali Rais Uhuru Kenyatta kuziongoza jamii hizo kwa muda wa miaka...

Baba achezea wagombeaji ODM kwa kutoa tiketi moja kwa moja

CHARLES WASONGA NA SHABAAN MAKOKHA HATUA ya chama cha ODM chake mwaniaji urais wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga kutoa tiketi...

Ruto atikisa ngome ya Baba Pwani

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto yuko mbioni kuyeyusha ushawishi wa Azimio la Umoja Pwani kwa kushawishi vyama vya eneo hilo...

Zogo ODM ikimpa Boga tiketi mboga Kwale

NA SIAGO CECE CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kinakabiliwa na mzozo mkubwa katika kaunti ya Kwale baada ya chama hicho kumpa...

Mchujo wazua hofu miongoni mwa wawaniaji

NA BENSON MATHEKA MCHUJO wa vyama vya kisiasa unaotarajiwa Aprili umeanza kuzua tumbojoto miongoni mwa wawaniaji wanaohisi kwamba huenda...

Joto kali Azimio, Kenya Kwanza wakimenyana Magharibi

NA BRIAN OJAMAA HUKU ikiwa imesalia miezi minne uchaguzi mkuu ufanyike, pambano kali la kisiasa linaendelea kujitokeza kati ya mirengo...

Ruto alia anafinywa na serikali

ONYANGO K’ONYANGO Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais Dkt William Ruto amelalamikia kile ambacho anadai ni afisi yake kunyimwa pesa kutoka...

Kanu yasema naibu wa Raila si lazima atoke Mlimani

NA ONYANGO K’ONYANGO CHAMA cha KANU sasa kimejitosa katika mjadala kuhusu uteuzi wa mgombea mwenza wa mwaniaji urais kwa tikiti ya...