NA JAMES MURIMI VYAMA chini ya vuguvugu la Azimio la Umoja sasa vimeungana kupambana na mwaniaji atakayeteuliwa na UDA anayoiongoza Dkt...
NA JAMES MURIMI MWENYEKITI wa bodi ya kampeni za Azimio la Umoja, Ndiritu Muriithi ameonya maafisa wa serikali katika kaunti dhi - di ya...
NA MWANGI MUIRURI MKUTANO uliokuwa umeitishwa na Rais Uhuru Kenyatta leo katika Ikulu ya Nairobi kati yake na viongozi waliochaguliwa...
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha Jubilee kimemvua Seneta wa Kiambu Kimani Wamatangi wadhifa wake wa Kiranja wa Wengi katika Bunge la Seneti...
NA WAANDISHI WETU ENEO la Pwani linazidi kuibuka kama ukanda ambapo wanasiasa wa kizazi kipya wanajizatiti kuwa na ushawishi...
NA BENSON AMADALA UBABE wa kinyang’anyiro cha ugavana katika Kaunti ya Kakamega kati ya Seneta Cleophas Malala na mtangulizi wake, Boni...
NA CHARLES WASONGA NAIBU Mwenyekiti wa Jubilee David Murathe amewataka wakazi wa Mlima Kenya kuhakikisha kura zao zitachangia ushindi wa...
NA CHARLES WASONGA KATIKA kile kinachoonekana kuwa marudio ya historia, Rais Uhuru Kenyatta ameamua kulipa wema ambao babake, Mzee Jomo...
NA GATUNI WACHIRA SENETA wa Kaunti ya Murang’a Bw Irungu Kang’ata amesema kwamba chama cha Jubilee kinaweza kufananishwa na meli...
NA BRIAN OJAMAA BARAZA la Wazee wa jamii ya Waluhya limemfokea Naibu Rais William Ruto kwa kumshambulia Rais Uhuru Kenyatta katika...
LUCY MKANYIKA NA KALUME KAZUNGU MATUMAINI ya wanawake wengi kuwania ugavana Pwani katika uchaguzi ujao yameanza kudidimia, baadhi yao...
NA KENYA NEWS AGENCY AJALI inapotokea, maisha ya mtu huweza kubadilika kwa namna ambayo hakutarajia. Hayo ndiyo yaliyompata Mercy...