• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 11:14 AM

Azimio kupigia debe Muriithi Laikipia

NA JAMES MURIMI VYAMA chini ya vuguvugu la Azimio la Umoja sasa vimeungana kupambana na mwaniaji atakayeteuliwa na UDA anayoiongoza Dkt...

Gavana akemea watumishi serikalini wanaotatiza Azimio

NA JAMES MURIMI MWENYEKITI wa bodi ya kampeni za Azimio la Umoja, Ndiritu Muriithi ameonya maafisa wa serikali katika kaunti dhi - di ya...

Uhuru afuta kikao cha ikulu ghafla

NA MWANGI MUIRURI MKUTANO uliokuwa umeitishwa na Rais Uhuru Kenyatta leo katika Ikulu ya Nairobi kati yake na viongozi waliochaguliwa...

Wamatangi avuliwa wadhifa wa seneti kwa kujiunga na Hasla

Na CHARLES WASONGA  CHAMA cha Jubilee kimemvua Seneta wa Kiambu Kimani Wamatangi wadhifa wake wa Kiranja wa Wengi katika Bunge la Seneti...

Vigogo wa kizazi kipya wadhibiti Pwani kisiasa

NA WAANDISHI WETU ENEO la Pwani linazidi kuibuka kama ukanda ambapo wanasiasa wa kizazi kipya wanajizatiti kuwa na ushawishi...

Mvutano wa Malala, Khalwale hatari kwa Kenya Kwanza

NA BENSON AMADALA UBABE wa kinyang’anyiro cha ugavana katika Kaunti ya Kakamega kati ya Seneta Cleophas Malala na mtangulizi wake, Boni...

“Raila atapita hata bila kura za Mlima Kenya”

NA CHARLES WASONGA NAIBU Mwenyekiti wa Jubilee David Murathe amewataka wakazi wa Mlima Kenya kuhakikisha kura zao zitachangia ushindi wa...

Rais aamua kurudisha mkono kwa Jaramogi

NA CHARLES WASONGA KATIKA kile kinachoonekana kuwa marudio ya historia, Rais Uhuru Kenyatta ameamua kulipa wema ambao babake, Mzee Jomo...

Kang’ata asema chama cha Jubilee ni meli iliyozama

NA GATUNI WACHIRA  SENETA wa Kaunti ya Murang’a Bw Irungu Kang’ata amesema kwamba chama cha Jubilee kinaweza kufananishwa na meli...

Wazee Waluhya wamkosoa Ruto kudharau Uhuru

NA BRIAN OJAMAA BARAZA la Wazee wa jamii ya Waluhya limemfokea Naibu Rais William Ruto kwa kumshambulia Rais Uhuru Kenyatta katika...

Wanawake wapata pigo kuwania viti vikuu vya kisiasa Pwani

LUCY MKANYIKA NA KALUME KAZUNGU MATUMAINI ya wanawake wengi kuwania ugavana Pwani katika uchaguzi ujao yameanza kudidimia, baadhi yao...

MAKALA MAALUM: Amekataa jinsia na ulemavu kuua ndoto yake ya udiwani

NA KENYA NEWS AGENCY AJALI inapotokea, maisha ya mtu huweza kubadilika kwa namna ambayo hakutarajia. Hayo ndiyo yaliyompata Mercy...