• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 12:26 PM

Mawakili walafi wamulikwa kula fidia za waathiriwa wa ajali

NA JOSEPH OPENDA BAADHI ya mawakili wanawatesa na kuwahangaisha waathiriwa wanyonge wa ajali kwa kuwapokonya fidia kutoka kwa kampuni za...

Uvundo wafukuza wateja wa bidhaa jijini

FRIDAH OKACHI Na WINNIE ONYANDO WATEJA wa bidhaa mtaani Kawangware, Nairobi wameanza kuhepa masoko yenye uvundo huku wauzaji wakiomba...

Mkurugenzi kizimbani kwa kughushi wosia wa marehemu

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Kampuni ya Pelikan Signs Limited inayochora alama za barabarani, ameshtakiwa kughushi wosia wa mmiliki wa...

Aliyenaswa akiwa na pingu akana kujifanya polisi

NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA wa uhalifu aliyekamatwa akiwa na pingu amekanusha mashtaka na kuachiliwa kwa dhamana ya Sh600,000. Bw Salim Muya...

Kiini cha masaibu ya Wa Iria

NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA gavana wa Murang’a Mwangi wa Iria, mke wake Bi Jane Waigwe na aliyekuwa Kamishna wa Murang’a Bw Patrick...

Watu 10 wafariki Malaysia kufuatia ajali ya helikopta mbili

NA MASHIRIKA KUALA LUMPUR, MALAYSIA WATU 10 wameaga dunia baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wa maandalizi ya hafla moja ya...

Maandamano Kiganjo kupinga ‘udhalimu’ wa kanjo wa Kiambu

NA LAWRENCE ONGARO WAFANYABIASHARA na wanakijiji cha Kiganjo wapatao 1,000 waliandamana Jumatatu wakidai wananyanyaswa na askari (kanjo)...

Wanawe pasta ni miongoni mwa waliokumbana na ajali wakienda maombi

NA FLORAH KOECH SAA mbili asubuhi mnamo Jumapili, vijana zaidi ya 20 kutoka Kanisa la Kabukoki Revival lililoko Salabani, Baringo...

Hofu kuhusu Leba Dei Cotu ikichunguzwa

Na JUSTUS OCHIENG KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Kutetea Masilahi ya Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, leo ameitisha mkutano...

Daktari atupwa jela miaka 12 kwa kupanga shambulio kwa kutumia bakteria ya kimeta

NA RICHARD MUNGUTI DAKTARI amehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela, kwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi. Dkt Mohamed Abdu Ali,...

Hofu baada ya wanne kujeruhiwa na mifugo kuzikwa kwenye maporomoko ya tope

NA OSCAR KAKAI CHEPURAI Ng’oletiang, mwenye umri wa miaka 45, mama wa watoto watano alikuwa kwenye shughuli ya kuandaa chamcha majira...

Iraq yashambulia kambi ya Amerika kwa roketi nchini Syria

HASAK, SYRIA NA MASHIRIKA ROKETI zilirushwa Jumapili jioni kutoka kaskazini mwa Iraq katika kambi ya kijeshi nchini Syria inayohifadhi...