• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 2:16 PM

Dorice Donya asema angekuwa hana mume angesubiri ‘boyfie’ aliyesomea Maranda

NA CHARLES WASONGA MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Kisii Dorice Donya Aburi mnamo Alhamisi aliibua kicheko Bungeni alipodai...

Niliporushwa kwa kinywa cha mamba kisiasa wanawake walisimama nami – Ruto

NA MWANGI MUIRURI RAIS William Ruto amefichua ni kwa nini yeye katika siasa zake huonekana kama wa kupendelea wanawake. Katika...

Magaidi wawili kukaa jela miaka 19 kwa kupatikana na silaha hatari

NA RICHARD MUNGUTI MAGAIDI wawili wamehukumiwa kifungo cha kukaa jela miaka 25 kwa kupatikana na silaha hatari walizonuia kutumia...

Mackenzie aomba apunguziwe mashtaka kutoka 191 hadi 12

NA ALEX KALAMA MHUBIRI wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie na wenzake walioshtakiwa pamoja naye kwa makosa 191 ya mauaji...

Washukiwa watano wakamatwa Mukuru, maafisa waharibu lita 341 za pombe haramu

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA watano wamekamatwa Alhamisi kwenye msako ulioendeshwa asubuhi dhidi ya pombe haramu. Akithibitisha, Naibu...

Wakulima wa korosho kufaidi kwa kiwanda kipya

NA JURGEN NAMBEKA WAKULIMA wa korosho katika Kaunti ya Lamu wanatarajia kufaidika na mpango wa kujenga kiwanda cha korosho eneo hilo. Hii...

Hatima ya Dkt Monda kuamuliwa na kamati maalum ya Seneti

NA WYCLIFFE NYABERI  SPIKA wa Seneti Amason Kingi ameteua kamati maalum ya maseneta 11 kuchunguza ripoti kutokana na hoja iliyopitishwa...

Hospitali tegemeo Taita Taveta zaugua kwa kukosa vitengo vya ICU, mitambo ya oksijeni

NA MARY WANGARI WENYEJI na wakazi wa Kaunti ya Taita Taveta huenda wakalazimika kusubiri kwa muda zaidi kabla ya kupata huduma za afya...

NG-CDF yamulikwa kwa wasimamizi kuwa na vyeti ghushi

NA CHARLES WASONGA TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inachunguza madai kwamba baadhi ya mameneja wanaohudumu katika Bodi ya...

Moses Kuria amezea mate umaarufu wa Raila

NA WANDERI KAMAU WAZIRI wa Utumishi wa Umma Moses Kuria, ameonyesha wazi kwamba anatamani sana kuwa na umaarufu alio nao kiongozi wa...

Mwanamume aishi na maiti ya dadake kusubiri afufuke

NA MERCY KOSKEI MNAMO Jumatano, makachero kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) waliupata mwili wa mwanamke ukiwa umeoza...

Waziri Mkuu wa Haiti ‘ahepea’ Puerto Rico

NA MASHIRIKA WAZIRI Mkuu wa Haiti Ariel Henry alitua Puerto Rico Jumanne jioni na hivyo kuondoa wasiwasi kuhusu aliko baada ya ziara...