• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Benki zaweka masharti makali kwa mikopo ‘midogomidogo’

NA KEPHA MURURI BENKI sasa zimeweka masharti magumu ya kutoa mikopo midogomidogo kama tahadhari baada ya wakopaji wengi kushindwa kulipa...

JSC yaorodhesha watu 100 kuwania nafasi 20 za majaji wa Mahakama Kuu

NA WANDERI KAMAU TUME ya Huduma za Mahakama (JSC) imewaorodhesha watu 100 watakaowania nafasi za majaji wa Mahakama Kuu. Tume hiyo...

Sababu za korti kuahirisha kikao cha kumsomea Jowie adhabu

NA RICHARD MUNGUTI UAMUZI wa kumwadhibu Joseph Irungu almaarufu 'Jowie' aliyepatikana na hatia ya kumuua kinyama mfanyabiashara Monicah...

Jowie atoa wimbo tarehe ya adhabu ikisogezwa

NA WANDERI KAMAU KWA mara nyingine Joseph Irungu almaarufu ‘Jowie’ ametoa wimbo mwingine baada ya kikao cha mahakama. Mara baada...

Hoteli kulipa familia ya mtalii aliyekufa katika mbuga ya Maasai Mara Sh23m

NA SAM KIPLAGAT HOTELI ya Keekorok Lodge imeagizwa na Mahakama Kuu ilipe familia ya mtalii Luo Jinli, raia wa China, Sh23 milioni kama...

Walevi wa ‘tot’ walia hawawezi kumudu bei ya ‘mzinga’

NA MWANGI MUIRURI SERIKALI imetoa ilani kwamba pombe ya makali itakayokuwa zikipatikana sokoni huenda ziwe zikipakiwa katika chupa kwa...

Kikwazo kipya kwa safari ya Raila AUC

NA AGGREY MUTAMBO MABADILIKO mapya ya sheria za Umoja wa Afrika (AU) yanaweza kumfungia nje kiongozi wa upinzani Raila Odinga. Kanuni...

Nyakang’o amulika serikali kwa kutumia Sh70.41bn bila idhini ya Bunge

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Kenya Kwanza inayoongozwa na Rais William Ruto ilitumia Sh70.41 bilioni katika miradi ya maendeleo bila...

Dorice Donya asema angekuwa hana mume angesubiri ‘boyfie’ aliyesomea Maranda

NA CHARLES WASONGA MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Kisii Dorice Donya Aburi mnamo Alhamisi aliibua kicheko Bungeni alipodai...

Niliporushwa kwa kinywa cha mamba kisiasa wanawake walisimama nami – Ruto

NA MWANGI MUIRURI RAIS William Ruto amefichua ni kwa nini yeye katika siasa zake huonekana kama wa kupendelea wanawake. Katika...

Magaidi wawili kukaa jela miaka 19 kwa kupatikana na silaha hatari

NA RICHARD MUNGUTI MAGAIDI wawili wamehukumiwa kifungo cha kukaa jela miaka 25 kwa kupatikana na silaha hatari walizonuia kutumia...

Mackenzie aomba apunguziwe mashtaka kutoka 191 hadi 12

NA ALEX KALAMA MHUBIRI wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie na wenzake walioshtakiwa pamoja naye kwa makosa 191 ya mauaji...