• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 3:25 PM

Mwanamume aliyefaa kupelekwa Marekani kushtakiwa atoroka seli

NA MARY WANGARI MASWALI yameibuka kuhusu jinsi mwanamume aliyekuwa akisubiri kukamilika mchakato wa kumpeleka nchini Marekani kushtakiwa...

Rotich akamata mnofu serikalini baada ya korti kumsafisha

NA CHARLES WASONGA UTEUZI wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Henry Rotich kuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Kifedha na Sera ya Bajeti katika...

Papa adai wanaopinga mashoga wana unafiki

NA MASHIRIKA VATICAN, VATICAN KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema anaona "unafiki" katika kauli za watu...

Mahakama yazuia LSK kufanya uchaguzi wa mwakilishi katika JSC

NA SAM KIPLAGAT MAHAKAMA Kuu imetoa agizo la kusitishwa kwa uchaguzi wa mwakilishi wa mawakili katika Tume ya Huduma za Idara ya...

Naibu Inspekta Jenerali wa polisi asimulia korti jinsi alivyotiliwa ‘mchele’ na kupoteza Sh1.5m

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi ametoa ushahidi wake mbele ya mahakama ya Nairobi akieleza jinsi ambavyo...

Khalwale amtaka Toto afute ‘uongo’ mitandaoni na kumlipa fidia ya Sh200m

NA RICHARD MUNGUTI SENETA wa Kakamega Boni Khalwale amemtaka mfanyabiashara Cleophas Shimanyula almaarufu Toto kufuta matamshi na kauli...

Askari rungu 20,000 hatarini kupoteza ajira, vyama vyao vyalia

NA WANDERI KAMAU VYAMA viwili vya walinzi nchini, vimeonya kuwa walinzi 20,000 wako kwenye hatari ya kupoteza ajira zao, baada ya serikali...

Kindiki, Machogu waibuka mawaziri ‘waliookoa’ fedha za mlipaushuru zaidi

NA WANDERI KAMAU MAWAZIRI Kithure Kindiki (Usalama wa Ndani) na Ezekiel Machogu (Elimu) ndio waliookoa fedha za mlipaushuru zaidi kwa...

Rais Ruto avunia Kenya mikataba ya Sh98.8 bilioni ziarani Japan

NA MWANGI MUIRURI RAIS William Ruto amevunia uchumi wa Kenya mikataba mitamu ya Sh98.8 bilioni katika ziara yake...

Mmiliki wa kampuni ya gesi iliyolipuka kukaa ndani siku 21

NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kiwanda cha gesi cha Embakasi ambako mlipuko ulitokea na kusababisha watu sita kufariki na zaidi ya 300...

Pigo kwa Ruto mahakama ikipiga breki amri ya kulipa karo kupitia e-Citizen

NA JOSEPH OPENDA MAHAKAMA Kuu imesimamisha kwa muda amri ya Wizara ya Elimu ya kuhimiza malipo yote ya karo na ada zingine yafanywe kwenye...

Wabunge watatu wa upinzani wakamatwa

NA MASHIRIKA WABUNGE watatu wa upinzani wamekamatwa nchini Senegal, huku kukiwa na mzozo mkali wa kisiasa. Mvutano huo ni kufuatia hatua...