• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 7:55 AM

Maji: Pwani kuzidi kuteseka serikali ikisitisha mradi

NA LUCY MKANYIKA WAKAZI wa ukanda wa Pwani watalazimika kuendelea kuvumilia uhaba wa maji eneo hilo, baada ya serikali kusitisha mpango wa...

Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi aaga dunia

NA THE CITIZEN, Tanzania Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi ameaga dunia. Kulingana na taarifa kutoka Ikulu ya Dodoma na Rais...

Wakazi Bonde la Ufa wauliza Rais atatimiza ahadi lini

NA ERIC MATARA AKIFANYA kampeni zake za uchaguzi wa 2022, Rais William Ruto aliahidi kutekeleza miradi muhimu katika eneo la Kusini...

Naibu Gavana wa Kisii Robert Monda afungishwa virago

NA WYCLIFFE NYABERI NAIBU Gavana wa Kisii Dkt Robert Monda ametimuliwa afisini na madiwani wa gatuzi hilo baada ya hoja iliyowasilishwa...

Dkt Monda ajitetea vikali kuchunga unga

NA WYCLIFFE NYABERI NAIBU Gavana wa Kaunti ya Kisii Dkt Robert Monda ametoa majibu kwa kila mojawapo ya shutuma tatu ambazo madiwani...

Madiwani Kisii wamkaidi Arati, waendelea na hoja ya kumng’atua Dkt Monda

NA WYCLIFFE NYABERI MADIWANI (MCAs) wanaotaka kumng'atua mamlakani Naibu Gavana wa Kisii Robert Monda wamekaidi rai ya gavana Simba Arati...

Wakeketaji waficha uovu wao kwa muziki wa juu

NA KALUME KAZUNGU HUKU Kenya na ulimwengu ukiendeleza kampeni dhidi ya ukeketaji, tatizo hilo bado linaendelea kukithiri na kukita...

Tanzania yapata treni za umeme, Kenya ikisukuma maisha na za kizamani

MWANANCHI Na CHARLES WASONGA SHUGHULI za uchukuzi kwa treni za kutumia umeme zikitarajiwa kuanza rasmi nchini Tanzania kuanzia Julai...

Muturi aonya KRA kuhusu ushuru wa nyumba

NA BONFACE OTIENO MWANASHERIA Mkuu Justin Muturi ameionya Mamlaka ya Ushuru nchini (KRA) dhidi ya kuendelea kukusanya ushuru wa ujenzi wa...

Shahidi katika kesi ya mauaji adai Jumwa alimlima makonde

NA BRIAN OCHARO SHAHIDI katika kesi kuhusu mauaji ya mfuasi wa Chama cha ODM, Jola Ngumbao, amesimulia madai ya jinsi Waziri wa Jinsia...

Wakenya sasa wanachukua mikopo kununua chakula nyumbani

PATRICK ALUSHULA na NINA SHABAN WAKENYA sasa wanachukua mikopo midogo midogo ya kununua chakula na kutimiza mahitaji mengine ya kimsingi...

Mmiliki wa kiwanda cha gesi ya janga aachiliwa kwa dhamana

NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kiwanda cha gesi iliyolipuka na kusababisha maafa Embakasi ameachiliwa kwa dhamana huku maafisa wa Mamlaka...