• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 4:25 PM

Jaji Grace Nzioka atoa uamuzi dhidi ya Jowie kwa ustadi kama nyanya

NA RICHARD MUNGUTI JAJI Grace Nzioka aliyesikiliza kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Monicah Kimani dhidi ya Joseph Irungu almaarufu...

Jaji Grace Nzioka aitisha maji mawakili kupoza joto akisoma uamuzi

NA WANDERI KAMAU WAKATI Jaji Grace Nzioka aliketi kuanza kusoma ufafanuzi wa uamuzi wa mahakama kuhusu kesi ya mauaji ya mfanyabiashara...

Watoto 700,000 wakodolea macho utapiamlo nchini Sudan

NA REUTERS GENEVA, USWISI TAKRIBAN watoto 700,000 nchini Sudan wako hatarini kukabiliwa na utapiamlo wa hali ya juu mwaka huu 2024,...

Kupaa na kuporomoka kwa mwanahabari Jacque Maribe

NA ELIZABETH NGIGI JACQUE Maribe aliwahi kupaa na kufikia viwango vya kutamaniwa na wengi, kabla tukio moja kubadilisha kabisa mkondo wa...

Jowie apatikana na hatia ya kumuua Monicah Kimani

RICHARD MUNGUTI Na HASSAN WANZALA MAHAKAMA imewahukumu washtakiwa wawili wa mauaji ya mfanyabiashara Monicah Kimani usiku wa Septemba...

Siku ya kufa kupona kwa Maribe na Jowie katika kesi ya mauaji

NA SAM KIPLAGAT HUKUMU dhidi ya mwanahabari wa zamani wa runinga Jacque Maribe na mchumba wake wa zamani Joseph Irungu, 'Jowie',...

Mwalimu ajiua kwa kukataliwa na ex, aacha mke mjamzito

NA GEORGE MUNENE MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake...

Fahamu msikiti maridadi zaidi kisiwani Lamu

NA KALUME KAZUNGU KISIWA cha Lamu ambacho ni ngome ya dini ya Kiislamu kina zaidi ya misikiti 40 inayopatikana kwenye maeneo au mitaa...

Mwanamume aliyefaa kupelekwa Marekani kushtakiwa atoroka seli

NA MARY WANGARI MASWALI yameibuka kuhusu jinsi mwanamume aliyekuwa akisubiri kukamilika mchakato wa kumpeleka nchini Marekani kushtakiwa...

Rotich akamata mnofu serikalini baada ya korti kumsafisha

NA CHARLES WASONGA UTEUZI wa aliyekuwa Waziri wa Fedha Henry Rotich kuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Kifedha na Sera ya Bajeti katika...

Papa adai wanaopinga mashoga wana unafiki

NA MASHIRIKA VATICAN, VATICAN KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema anaona "unafiki" katika kauli za watu...

Mahakama yazuia LSK kufanya uchaguzi wa mwakilishi katika JSC

NA SAM KIPLAGAT MAHAKAMA Kuu imetoa agizo la kusitishwa kwa uchaguzi wa mwakilishi wa mawakili katika Tume ya Huduma za Idara ya...