• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Guterres ataka nchi kuendelea kutoa misaada kwa raia Gaza

NA AFP KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Antonio Guterres ameyasihi mataifa fadhili kuendelea kufanya hisani kwa shirika lake la...

Mzozo wa uongozi wa Supkem wachacha

NA KNA BARAZA Kuu la Waislamu Nchini (SUPKEM) tawi la Garissa limekashifu Msajili wa Vyama vya Kijamii na Dini kwa kusababisha mzozo...

Waziri matatani kwa kukejeli watu wenye njaa

NA WANDERI KAMAU WAZIRI mmoja nchini Uganda, ameshtumiwa vikali baada ya kuwaita watu waliofariki kutokana na njaa nchini humo kuwa...

Ruto aelekea Italia kwa ziara ya kikazi

NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto Jumapili, Januari 28, 2024 aliondoka nchini kwa ziara rasmi Italia, kuhudhuria kongamano maalum la...

Vijana wanavyounda hela kwa kupiga seti kwenye matatu

NA RICHARD MAOSI VIJANA wengi Jijinia Nairobi wanatengeneza hela kwa kupiga seti kwenye matatu za Uchukuzi wa Umma (PSV). Kwa sababu...

ODM yamkemea Ruto kwa kulazimisha Wakenya kulipa ushuru wa nyumba

GEORGE ODIWUOR na JURGEN NAMBEKA ZAIDI ya wabunge wanne wa chama cha ODM wamemtaka Rais William Ruto aheshimu uamuzi wa korti ambao...

Safaricom kutoa simu za bei nafuu

NA PATRICK ALUSHULA KAMPUNI ya mawasiliano ya Safaricom imefichua kuwa simu za rununu inazozitengeneza huko Athi River zitakuwa nafuu...

DCI yaahidi kuvunja mitandao ya wizi wa magari

NA WANDERI KAMAU MKURUGENZI Mkuu wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) Mohamed Amin, ameahidi kuongoza operesheni kali kunasa mtandao wa...

Kuelimisha vijana tukipinga miradi ya kuwapa ajira ni kazi bure – Ruto

NA PCS RAIS William Ruto amesisitiza haja ya nguzo tatu za serikali kufanya kazi kwa nia nzuri ya kuhakikisha maendeleo yanapatikana...

Watoto wa Mr Ibu waiba Sh9.9m za kugharimia matibabu yake

NA MASHIRIKA LAGOS, NIGERIA WANA wawili wa mwigizaji staa wa Nigeria, John Okafor almaarufu Mr Ibu, walikamatwa kwa madai ya kuiba...

Kibarua kizito Murang’a kinachomsubiri kamishna Joshua Nkanatha

NA MWANGI MUIRURI KUMEZUKA furaha katika Kaunti ya Murang'a kufuatia kuhamishwa kwa Kamishna Patrick Mukuria. Bw Mukuria alipewa...

Serikali yasambaza mbolea kwa tahadhari kuu

NA WANDERI KAMAU SERIKALI mnamo Jumamosi ilizindua awamu ya pili ya mpango wa kusambaza mbolea ya bei nafuu nchini, huku ikiahidi kuepuka...