• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Jinsi mhasibu alivyozamisha Sh16m kwa shamba hewa

NA RICHARD MUNGUTI MHASIBU anayeishi ng’ambo alitapeliwa zaidi ya Sh16 milioni kwa kuuziwa shamba hewa jijini Nairobi, hakimu mkuu...

Kalonzo aishambulia serikali kwa kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari

NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ameishambulia serikali kwa kuyabagua magazeti huru kwa kuhepesha matangazo yake ya...

Catherine, mke wa mwanamfalme William augua saratani

NA WANDERI KAMAU MKE wa mwanamfalme William, Catherine wa Wales, amesema kuwa yuko kwenye hatua za mwanzo za matibabu, baada ya uchunguzi...

Majuto ya Mjukuu wa Moi: Collins Kibet sasa atoweka, kesi ya kuhepa malezi ikimuandama

NA JOSEPH OPENDA MJUKUU wa Rais wa Pili wa Kenya marehemu Daniel arap Moi, Collins Kibet, ametoweka, na amekwepa kufika mahakamani kwa...

Mkibebwa mbebeke, Chibule ashauri wakazi wa Kilifi

NA JURGEN NAMBEKA NAIBU Gavana wa Kilifi Florah Chibule amewataka wakazi wa Pwani wanaofaidika na miradi ya kiufadhili kutoka nchi za...

Ruto akaidi Amerika kuhusu marufuku dhidi ya shughuli za WorldCoin

NA EDWIN MUTAI KENYA imekataa shinikizo kutoka kwa serikali ya Amerika kuhusu kuondoa marufuku dhidi ya mradi wa uwekezaji kidijitali...

KRA yaagiza ushuru wa nyumba kutekelezwa kuanzia Machi 19

NA CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Kukusanya Ushuru Nchini (KRA) sasa imeagiza kuwa utozaji wa ushuru wa nyumba utekelezwe kuanzia Machi 19,...

Maafisa wakuu wa serikali kuzimwa kutumia Tiktok – Kindiki

NA CHARLES WASONGA SERIKALI haitapiga marufuku matumizi ya mtandao wa kijamii wa TikTok lakini itawazima maafisa wake wakuu ili wasitumie...

Tanzia: Kamishna wa Lamu, Louis Rono aaga dunia

NA KALUME KAZUNGU KAMISHNA wa Kaunti ya Lamu Louis Rono ameaga dunia wakati alikuwa akipokea matibabu mapema Alhamisi katika hospitali...

Corona imerudi?

HELLEN SHIKANDA Na MERCY CHELANGAT MADAKTARI wanatahadharisha kuwa kuna ongezeko la maambukizi ya magonjwa ya kupumua huku baadhi ya...

Mwanamume ashtakiwa kumtishia gavana atoboke Sh240m

NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME ameshtakiwa kwa kudai kwa vitisho Sh240 milioni kutoka kwa Gavana wa Kakamega Fernandes Odinga...

Mahakama yazuia kiti cha Monda kutangazwa wazi

NA WYCLIFFE NYABERI MAHAKAMA Kuu imesimamisha mipango yoyote ya kukitangaza wazi kiti cha unaibu gavana wa Kisii kwenye Gazeti rasmi la...