• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 8:50 AM

Polisi wachunguza kisa cha vijana 4 kuuawa Buruburu kwa risasi 100

NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wameanzisha uchunguzi kuhusu kisa ambapo watu wenye bunduki waliua vijana wanne kwa kuwamiminia risasi zaidi...

Watu 4,139 walifariki kutokana na ajali mwaka 2023 – NTSA

NA WANDERI KAMAU JUMLA ya watu 4,139 walifariki kutokana na ajali za barabarani mwaka 2023, imesema Mamlaka ya Kitaifa ya Usalama...

Mwanajeshi, mpenziwe ndani kwa wizi wa bastola

NA MWANGI MUIRURI MWANAJESHI alitiwa mbaroni Jumamosi akiwa na mpenzi wake wa kike kwa madai ya kumwibia mkazi wa Kirinyaga bastola yake...

Chapati Festival: Krismasi ya mapema Riruta

NA FRIDAH OKACHI WAPITANJIA katika wadi ya Riruta, eneobunge la Dagoretti Kusini, mnamo Jumamosi walifurahia mlo wa bure ulioandaliwa na...

Lamu: Wanyama hutumiwa kubeba wanyama wengine

NA KALUME KAZUNGU MJI wa kale wa Lamu unatambuliwa duniani kote kutokana na sifa zake za kuhifadhi ukale na tamaduni za karne na...

Krismasi: Esther Passaris apendekeza elimu ya ngono kwa wasichana

NA CHARLES WASONGA MBUNGE Mwakilishi wa Nairobi Esther Passaris amewataka wazazi kuwapa watoto wao mafunzo kuhusu masuala ya ngono...

Wasanii kutoka Kenya wang’aa kwenye tuzo  

NA CHARLES WASONGA MKENYA Monica Bene Mutumi ni miongoni mwa wanaharakati wa haki za kibinadamu waliotuzwa na shirika moja la kupigania...

Krismasi: Maduka makubwa yapunguza bei ya bidhaa

NA ERIC MATARA MADUKA makubwa Nakuru yamefurika huku wakazi katika eneo hilo waking’ang’ana kununua bidhaa za kutumia siku ya...

Aachiliwa miaka 48 baadaye kwa kosa ambalo hakutenda

NA WANDERI KAMAU MWANAMUME nchini Amerika ameachiliwa gerezani baada ya kufungwa miaka 48, alipopatikana bila hatia kutokana na mashtaka...

Kilio zaidi serikali ikiongeza ada e-Citizen

NA WANDERI KAMAU SERIKALI imetangaza hatua mpya ya kuongeza ada zaidi zinazotolewa kwa raia kupitia mtandao wa e-Citizen. Hatua hiyo...

Raia wahimizwa kukalia ngumu wahudumu wa matatu

NA LABAAN SHABAAN WAZIRI wa Barabara na Uchukuzi Kipchumba Murkomen amewarai Wakenya kuripoti visa vya utepetevu miongoni mwa madereva...

Nitainua nchi au tuzame, Ruto asema

NA BARNABAS BII RAIS William Ruto amesema nafasi aliyopata ya kuliongoza taifa hili ni sehemu ya utabiri wa wazee wa jamii ya Wakalenjin...