NA SAMMY WAWERU Usajili wa watahiniwa wa KPSEA na KCSE 2024 utaanza Januari 29 na kuendelea kwa muda wa miezi miwili. Afisa Mkuu...
WANDERI KAMAU NA CHARLES WASONGA VYAMA vikuu vya kisiasa vimeanza mipango kabambe kuwasajili wanachama wake kote nchini. Chama cha...
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amechaguliwa kwa mhula wa pili kuwa mwakilishi wa Afrika katika Kamati ya...
NA MWANGI MUIRURI GAVANA wa Machakos Bi Wavinya Ndeti ametoa amri kwa wahudumu wa mochari za eneo hilo kukoma kupokea maiti za...
STANLEY NGOTHO NA WANDERI KAMAU SERIKALI imeanza mpango wa kuboresha mtandao wa intaneti katika kaunti 12, ili kurahisisha upatikanaji...
DAVID MWERE NA CHARLES WASONGA BIMA ya Kitaifa ya Afya (NHIF) inamulikwa baada ya zaidi ya Sh21 bilioni kutolewa kutoka hazina yake...
NA LUCY MKANYIKA VIONGOZI wa Kaunti ya Taita Taveta wakiongozwa na Gavana Andrew Mwadime, walipata muda mgumu kujaribu kusimamisha...
NA WANDERI KAMAU WAZAZI nchini wanakabiliwa na kibarua kigumu kuanzia Jumatatu, wanapojitayarisha kugharimia mahitaji ya wana wao...
NA ANTHONY KITIMO WAKAZI wa Mombasa mwaka huu, 2023 wataanza kupata hudumu za uchukuzi wa treni kutoka kituo kikuu cha gari moshi baada...
NA RICHARD MAOSI MSIMU wa kuvuna kwa wakulima kutoka eneo la Kinangop katika Kaunti ya Nyandarua umegeuka wakati wa kilio kwa sababu ya...
NA WANDERI KAMAU BARAZA la Vyombo vya Habari nchini (MCK), Jumamosi lililaani vikali shambulio lililotekelezwa dhidi ya wanahabari...
NA GITONGA MARETE MAAFISA wanaoweka zingatio katika kuchunguza uhalifu wa mauaji, walifika katika makazi ya Gavana wa Meru Kawira...