JURGEN NAMBEKA, KEVIN CHERUIYOT na MERCY SIMIYU MAELFU ya watu kutoka sehemu tofauti nchini wanasafiri kuelekea maeneo mbalimbali...
NA DAILY MONITOR MAMIA ya raia wa Uganda wanavuka mpaka wa Busia kuingia nchini Kenya ili kununua bidhaa kama vile vitambaa na mavazi...
NA RICHARD MAOSI WAFUGAJI wadogowadogo kutoka Ongata Rongai katika Kaunti ya Kajiado na jijini Nakuru wamelalamika kuwa visa vya wizi wa...
NA WINNIE ONYANDO MAWAZIRI wa kaunti ya Nairobi sasa wameamriwa kutafuta idhini kutoka kwa Gavana Johnson Sakaja ili kuhudhuria mahojiano...
NA LABAAN SHABAAN RAIS William Ruto amemteua James Kipsiele Tembur kuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...
NA ALEX KALAMA MAHAKAMA Kuu ya Malindi mnamo Ijumaa imemuachilia kwa dhamana aliyekuwa Waziri wa Utalii Najib Balala pamoja na wenzake...
NA CHARLES WASONGA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alichukua hatua ya kijasiri zaidi kwa kuvunja bodi ya Kampuni ya Usambazaji...
PCS na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto na Mama wa Taifa Rachel Ruto mnamo Ijumaa walisambaza zawadi za Krismasi kwa wakazi wa...
NA PHILIP MUYANGA ALIYEKUWA Waziri wa Utalii Najib Balala na Katibu Leah Gwiyo wameshtakiwa Ijumaa katika Mahakama ya Malindi kwa...
NA ALEX KALAMA ALIYEKUWA Waziri wa Utalii katika serikali ya utawala wa Jubilee Bw Najib Balala amefikishwa katika Mahakama Kuu ya mji...
NA RICHARD MAOSI MSONGAMANO mkubwa wa magari unaendelea kushuhudiwa katika barabara ya Nairobi-Nakuru, Wakenya wakielekea mashambani...
NA CECIL ODONGO NDOA kati ya utawala wa Kenya Kwanza na mwanaharakati Miguna Miguna imeanza kuingia doa, wakili huyo maarufu akikosoa...