• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 9:55 AM

Krismasi: Wewe ndiye umesota! Wengine wanaponda raha

JURGEN NAMBEKA, KEVIN CHERUIYOT na MERCY SIMIYU MAELFU ya watu kutoka sehemu tofauti nchini wanasafiri kuelekea maeneo mbalimbali...

Raia wa Uganda wafurika Kenya kununua bidhaa

NA DAILY MONITOR MAMIA ya raia wa Uganda wanavuka mpaka wa Busia kuingia nchini Kenya ili kununua bidhaa kama vile vitambaa na mavazi...

Krismasi: Wafugaji kuku waripoti kuongezeka kwa visa vya wizi

NA RICHARD MAOSI WAFUGAJI wadogowadogo kutoka Ongata Rongai katika Kaunti ya Kajiado na jijini Nakuru wamelalamika kuwa visa vya wizi wa...

Msizungumze na wanahabari bila idhini, Sakaja aonya maafisa City Hall

NA WINNIE ONYANDO MAWAZIRI wa kaunti ya Nairobi sasa wameamriwa kutafuta idhini kutoka kwa Gavana Johnson Sakaja ili kuhudhuria mahojiano...

Rais Ruto amteua James Tembur kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NYS

NA LABAAN SHABAAN RAIS William Ruto amemteua James Kipsiele Tembur kuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...

Balala aachiliwa kwa dhamana

NA ALEX KALAMA MAHAKAMA Kuu ya Malindi mnamo Ijumaa imemuachilia kwa dhamana aliyekuwa Waziri wa Utalii Najib Balala pamoja na wenzake...

Rais Samia Suluhu avunja bodi ya Tanesco kufuatia kupotea kwa umeme

NA CHARLES WASONGA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alichukua hatua ya kijasiri zaidi kwa kuvunja bodi ya Kampuni ya Usambazaji...

Rais Ruto asambaza zawadi za Krismasi, wewe umefikiwa?

PCS na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto na Mama wa Taifa Rachel Ruto mnamo Ijumaa walisambaza zawadi za Krismasi kwa wakazi wa...

Balala ashtakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi

NA PHILIP MUYANGA ALIYEKUWA Waziri wa Utalii Najib Balala na Katibu Leah Gwiyo wameshtakiwa Ijumaa katika Mahakama ya Malindi kwa...

Balala afikishwa mahakamani Malindi kwa kesi ya ufujaji Sh8.5 bilioni

NA ALEX KALAMA ALIYEKUWA Waziri wa Utalii katika serikali ya utawala wa Jubilee Bw Najib Balala amefikishwa katika Mahakama Kuu ya mji...

Msongamano mkubwa wa magari Wakenya wakielekea ‘ushago’ Krismasi

NA RICHARD MAOSI MSONGAMANO mkubwa wa magari unaendelea kushuhudiwa katika barabara ya Nairobi-Nakuru, Wakenya wakielekea mashambani...

Miguna atoa kauli nzito dhidi ya serikali iliyomsaidia kurejea nchini

NA CECIL ODONGO NDOA kati ya utawala wa Kenya Kwanza na mwanaharakati Miguna Miguna imeanza kuingia doa, wakili huyo maarufu akikosoa...