KALUME KAZUNGU, JURGEN NAMBEKA NA CECE SIAGO SEHEMU mbalimbali katika ukanda wa Pwani zimeathiriwa na mvua ya El-Nino inayoendelea...
NA WANDERI KAMAU RAIS George Weah wa Liberia amekubali kushindwa na mwaniaji urais wa Upinzani, Joseph Boakai, kwenye matokeo ya kura...
NA CECIL ODONGO UMOJA wa Afrika (AU) umesema uvumbuzi wa kiteknolojia ndiyo nguzo kuu ambayo inastahili kukumbatiwa na vijana...
NA STEVE OTIENO POLISI wa cheo cha Inspekta amegeuzwa mahabusu katika kituo cha polisi cha Ruiru, Kiambu, baada ya kukamatwa akijaribu...
Na KEVIN MUTAI MADIWANI wa Kaunti ya Meru wamekerwa na pendekeza la gavana wa kaunti hiyo Kawira Mwangaza kwamba serikali hiyo ivunjwe na...
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa wengi katika Bunge la Kitaifa Kimani Ichung’wah amepuuzilia mbali madai ya kiongozi wa upinzani Raila...
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga, sasa anataka mkataba wa ununuzi wa mafuta baina ya serikali ya Kenya...
NA FRIDAH OKACHI KIONGOZI wa Chama cha Narc Kenya Martha Karua ametishia kurejesha Wakenya barabarani iwapo serikali haitasikiza matakwa...
Na FATUMA BARIKI Mkuu wa Utumishi wa Umma Felix Koskei ametangaza kwamba maafisa sita wakuu wa mashirika ya kiserikali, mhasibu na...
WINNIE ATIENO NA FARHIYA HUSSEIN WAKAZI wa Mombasa kwa sasa watalazimika kulipia Sh500 kila mwezi kutoka Sh200 walizokuwa wakilipa awali...
Na CHARLES WASONGA KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini, Kenya Power sasa inashirikiana na maafisa wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI)...
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa limeidhinisha mpango wa serikali wa kutuma maafisa 1,000 wa polisi kulinda usalama nchini...