• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

El-Nino yalemea Pwani maafa yakishuhudiwa

KALUME KAZUNGU, JURGEN NAMBEKA NA CECE SIAGO SEHEMU mbalimbali katika ukanda wa Pwani zimeathiriwa na mvua ya El-Nino inayoendelea...

George Weah akubali kichapo cha Upinzani  

NA WANDERI KAMAU RAIS George Weah wa Liberia amekubali kushindwa na mwaniaji urais wa Upinzani, Joseph Boakai, kwenye matokeo ya kura...

AU yataka vijana watumie teknolojia kutatua shida zao

NA CECIL ODONGO UMOJA wa Afrika (AU) umesema uvumbuzi wa kiteknolojia ndiyo nguzo kuu ambayo inastahili kukumbatiwa na vijana...

Inspekta wa polisi jambazi azuiliwa akijaribu kuiba katika duka la M-pesa

NA STEVE OTIENO POLISI wa cheo cha Inspekta amegeuzwa mahabusu katika kituo cha polisi cha Ruiru, Kiambu, baada ya kukamatwa akijaribu...

Madiwani wa Meru wakerwa na hatua ya Gavana Mwangaza kutaka serikali ivunjwe

Na KEVIN MUTAI MADIWANI wa Kaunti ya Meru wamekerwa na pendekeza la gavana wa kaunti hiyo Kawira Mwangaza kwamba serikali hiyo ivunjwe na...

Madai ya Raila kuhusu skendo ya mafuta ni ‘hot air’, Ichung’wah ajibu

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa wengi katika Bunge la Kitaifa Kimani Ichung’wah amepuuzilia mbali madai ya kiongozi wa upinzani Raila...

Raila afichua ‘bonge la skendo’ kuhusu kile anadai ni kiini cha bei ya mafuta kuwa ghali nchini

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga, sasa anataka mkataba wa ununuzi wa mafuta baina ya serikali ya Kenya...

Jiandae kwa maandamano, Karua aambia serikali akiiponda kuhusu gharama ya maisha

NA FRIDAH OKACHI KIONGOZI wa Chama cha Narc Kenya Martha Karua ametishia kurejesha Wakenya barabarani iwapo serikali haitasikiza matakwa...

Serikali yatangaza kusimamisha kazi maafisa wakuu sita wa mashirika, mhasibu kwa ufisadi

Na FATUMA BARIKI Mkuu wa Utumishi wa Umma Felix Koskei ametangaza kwamba maafisa sita wakuu wa mashirika ya kiserikali, mhasibu na...

Wakazi kuumia upya kaunti ikiongeza ada ya kuwakusanyia takataka

WINNIE ATIENO NA FARHIYA HUSSEIN WAKAZI wa Mombasa kwa sasa watalazimika kulipia Sh500 kila mwezi kutoka Sh200 walizokuwa wakilipa awali...

Tarajia DCI mlangoni pako iwapo umejiunganishia stima bila idhini ya Kenya Power

Na CHARLES WASONGA KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini, Kenya Power sasa inashirikiana na maafisa wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI)...

Bunge lakaidi mahakama na kuidhinisha polisi 1,000 watumwe Haiti

Na CHARLES WASONGA  BUNGE la Kitaifa limeidhinisha mpango wa serikali wa kutuma maafisa 1,000 wa polisi kulinda usalama nchini...