Matilda Mutinda ni mzaliwa wa kaunti ya Machakos, yeye ni mwanafunzi katika taasisi moja katika Bonde la ufa. Uraibu wake ni kusafiri na...
Karen Njoki ni mzaliwa wa Karatina. Akiwa amehitimu miaka 21 anasoma katika Rift Valley Institute of Science and Technology. Mara nyingi...
Evelyne Karuguru amehitimu miaka 21, yeye ni mwanafunzi wa utabibu katika taasisi moja mjini Nakuru. Anapenda kusafiri na...
Sharon Nyamweya ni mkazi wa jiji la Nairobi. Yeye ni mwigizaji na mwanamitindo, anapenda kutazama filamu za kizazi kipya. Picha/Richard...
Sheila Gitiha 21 ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Kabarak Bewa kuu. Yeye ni mwanafasheni, mara nyingi anapenda kusafiri, kusoma na...
Naomi Nyamweya, 23, ndiye anatupambia ukurasa wetu leo, yeye ni mkaazi wa mtaa wa Kaptembwo Nakuru, anapenda kusikiliza muziki wa kizazi...
Randy Finike, 22, ni mwanamitindo na mtaalamu wa miondoko kutoka Nakuru, amewahi kuibuka bora katika mashindano ya Miss Nakuru. Anapenda...
Everlyn Njeri, 21, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Maasai Mara kaunti ya Narok.Uraibu wake ni kusakata densi na kuogelea. Picha/Richard...
Bi Mary Wambui, 24, mzaliwa na mwanamitindo wa Elburgon katika Kaunti ya Nakuru anapenda kusafiri, kuogeleana kukutana na marafiki....
Everlyn Kisilu, 27, ndiye anatupambia tovuti yetu. Yeye ni mwanafasheni jijini Nairobi. Anapenda kusafiri, kuimba na kutazama...
Abigael Annie ni mkazi wa kaunti ndogo ya Naivasha. Yeye ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Kenyatta. Uraibu wake ni kuchora na...
Tracy Waridi ndiye mrembo wetu. Yeye ni mwanafunzi kutoka taasisi ya ICS mjini Nakuru, anapenda kuchora na kupika. Picha/Richard Maosi