Hessi Jerop ni mwigizaji wa filamu kutoka Nakuru Arts Theatre. Uraibu wake ni kusakata densi na kujumuika na marafiki. Picha/Richard...
Faith Nyaranga 27 ndiye anatupambia tovuti yetu leo. Yeye ni mwigizaji kutoka jijini Nairobi . Anapenda kusoma na kutazama filamu za Soap...
Lucy Tash, 25, ndiye mgeni wetu leo. Yeye ni mfanyibiashara katika duka moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kutazama filamu na kusakata...
Mgeni wetu leo anajulikana kama Mercy Siti Waridi 20. Yeye ni mkazi wa Kikopey kaunti ndogo ya Gilgil. Mbali na kushiriki mashindano ya...
Rahab Muruga, 25 ni mzaliwa wa kaunti ya Kericho.Y eye ni mfanyibiashara na mwanamitindo. Uraibu wake ni kusakata kabumbu na kujumuika na...
Catherine Bosire, 26, ndiye mgeni wetu, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Nyamira.Akipata muda anapenda kusakata densi na kujumuika na...
Anne Nduta Kung'u, 30, ni mfanyibiashara kutoka Stem Lanet. Uraibu wake ni kutazama filamu na kusikiliza muziki wa kizazi...
Sarah Miraji, 20, ndiye malkia wetu leo, yeye ni mwanamitindo na mfanyibiashara mwenye tajriba pana katika ulingo wa vipodozi. Akipata muda...
Eunice Kwanzu, 23, ndiye anatupambia tovuti yetu, yeye ni mwigizaji chipukizi kutoka jijini Nairobi, akipata muda anapenda kubuni muziki na...
Zuena Akinyi, 24, ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru, mbali na kupenda uanamitindo anapenda kuchora na kuogelea. Picha/Richard Maosi
Grace Githinji 19 ndiye anatupambia tovuti yetu leo, yeye ni mwanamitindo kutoka Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri na kutazama filamu....
Getrude Jerono, 20, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu Cha Eldoret. Anapenda kusikiliza muziki wa kizazi kipya. Picha/Richard Maosi