Angie Koech mwenye umri wa miaka 24, ndiye anatupambia wavuti wetu. Yeye ni mkazi wa Kaunti ya Nairobi. Uraibu wake ni kusafiri, kutazama...
Diana Arao 24, ni mwanafunzi wa fasheni katika taasisi moja mjini Nakuru.Yeye ni mwanamitindo na mwanafasheni.Uraibu wake ni kuchora,...
Venessa Wambui 21, ni mwanafunzi wa masuala ya kiuchumi katika College of Accountancy jijini Nairobi.Uraibu wake ni kusafiri nakusoma...
Mercy Kangogo 22, ni mwalimu kutoka eneo la Kabarnet. Anapenda kufundisha na kufanya utafiti katika maswala ya urembo. Picha/Richard Maosi
Melanie Ann 20, ni mwanafunzi wa uanahabari katika chuo kimoja jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusakata densi na kusakata kabumbu....
Lucy Miru 30, ni mkazi wa mtaa wa Freearea kaunti ya Nakuru, yeye ni mwongozaji wa vipindi katika vyombo vya habari.Uraibu wake ni kusoma...
Aleccins Kinogu ni tabibu kutoka kaunti ya Nairobi. Kufikia sasa amefikisha miaka 26. Uraibu wake ni kutangamana na marafiki na kusikiliza...
Lucy Wanjiru 23, ni mkazi wa eneo la Mau Summit viungani mwa mji wa Nakuru. Yeye ni mwigizaji wa vitabu vya fasihi katika majukwaa...
Waridi Zuena mwenye miaka 21, ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Moi Bewa kuu. Uraibu wake ni kutangamana na marafiki , kuimba na...
Faith Kerubo ni mwanamitindo wa Lanet, amefikisha miaka 24. Uraibu wake ni kusakata densi na kujivinjari katika maeneo mbalimbali....
Mary Narikae Namnyak, 22. Yeye ni mfanyibiashara na mwanafasheni kutoka kaunti ya Nakuru.Uraibu wake ni kusafiri, kupiga picha na kuogelea....
Victorine Arao 28,ni mfanyibiashara katika eneo la Maasai Market kaunti ya Nakuru.Uraibu wake ni kusikiliza muziki na kujumuika na...