• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:11 PM

Mwanasiasa Githurai ajitia kitanzi

NA SAMMY WAWERU POLISI katika mtaa wa Githurai 45, Nairobi wameanzisha uchunguzi kubaini kiini cha mwanasiasa kujitia kitanzi Jumatatu,...

Kitendawili cha nyanya kupatikana ‘amejinyonga’ akiwa amesimama Murang’a

Na MWANGI MUIRURI FAMILIA moja katika Kaunti ya Murang'a inaitaka Idara ya Uchunguzi wa Jinai (DCI) iwaelezee jinsi Bi Jane Beth Waigwe...

Baha achukua mapumziko mafupi mitandaoni

NA MERCY KOSKEI MUIGIZAJI wa zamani wa Kipindi cha Machachari, Tyler Mbaya maarufu kama Baha ametangaza kuwa anachukua mapumziko ya...

Wakazi walaumu MCA kwa unyakuzi wa ardhi

NA TITUS OMINDE ZAIDI ya familia 100 zilizohamishiwa katika mtaa wa Kipkaren viungani mwa mji wa Eldoret, zinataka idara ya Upelelezi wa...

Waziri Kindiki: Tutafanya maombi Shakahola kuondoa laana

NA SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Kithure Kindiki ametangaza kwamba serikali itaandaa maombi katika Msitu wa Shakahola, Malindi...

Gachagua adai wana Azimio walivalia sufuria kichwani kwa sababu ya kutmbea na Prof Wajackoyah

NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua sasa ameelekeza mashambulizi kwa kiongozi wa Roots Party George Wajackoyah, akidai...

Sabina Chege alia waheshimiwa bungeni kumuibia simu aina ya iphone 14

NA SAMMY WAWERU MBUNGE maalum Sabina Chege amedai kuwa simu yake yenye thamani kubwa, iliibwa bungeni. Bi Chege, alisema...

Msanii Mammito alia kwa kuzuiwa kuingia Ikulu Nairobi

NA MERCY KOSKEI MCHEKESHAJI maarufu Mammito amekejeli hali yake baada ya kuzuiwa kuhudhuria hafla ya uzinduzi wa Talanta Hela katika...

Wabunge Tharaka Nithi: Waziri Kindiki ametosha mboga kuingia Ikulu, ipo siku atakuwa rais

NA SAMMY WAWERU WABUNGE kutoka Kaunti ya Tharaka Nithi wameeleza imani mwana wao Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki, ipo siku...

Ole wenu vidosho mliommezea mate mtangazaji Hassan Mugambi, amenyakuliwa

NA MERCY KOSKEI MTANGAZAJI wa runinga ya Citizen Hassan Mugambi amefunga pingu za maisha na mpenzi wake wa siku nyingi Mwanaidi Shishi...

Mamake Trio Mio aomba msaada wa DCI mwanawe akitishwa kuuawa

NA MERCY KOSKEI IRMA Sakwa, mama na meneja wa mwimbaji maarufu Trio Mio, ameibua wasiwasi kuhusu usalama wa mwanawe kufuatia vitisho vya...

Talanta Hela: Akothee alalamika baada ya kumwaga unga

NA MERCY KOSKEI MWIMBAJI Esther Akoth almaarufu Akothee amelalamika baada ya kubatilishwa kwa uteuzi kwenye mojawapo ya kamati...