• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 4:10 PM

Ni mzaha tu, mke wa Samidoh si mjamzito

Na SAMMY WAWERU MKE wa mwanamuziki wa nyimbo za Mugithi Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh, Edday Nderitu Alhamisi usiku alitangaza...

MAPISHI KIKWETU: Nyama, brokoli na wali

NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 10 Muda wa mapishi: Dakika 40 Walaji: 4 Vinavyohitajika ...

Nafasi ya kilimo cha miti kugeuza Kenya kuwa Sweden

Na SAMMY WAWERU SWEDEN, taifa la Nordic lililoko Scandinavian Peninsula Kaskazini mwa Bara Uropa ni mojawapo ya nchi utakayotamani...

Mmea wenye madini mengi kuliko vyakula vyote duniani

NA RICHARD MAOSI Spirulina ni mmea wa rangi ya kijani kibichi ambao  mara nyingi hukua na kutapakaa juu ya maji, lakini sio watu...

Eric Omondi anyakwa na polisi Kisumu kwa kuandaa maandamano

MWANDISHI WETU MCHESHI Eric Omondi ametiwa mbaroni katika kaunti ya Kisumu baada ya kuongoza maandamano ya amani eneo hilo. Bw Omondi...

MAPISHI KIKWETU: Saladi ya karoti na mananasi

NA MARGARET MAINA [email protected] NANASI lina virutubisho vingi vyenye manufaa pamoja na vitamini C, manganisi, na vimeng'enya...

Akothee na Andrew Kibe wakabana koo

Na MERCY KOSKEI Mwimbaji Esther Akoth almaarufu Akothee amemkashifu vikali Andrew Kibe kwa kuchambua watu mashuhuri kila mara, akimwonya...

DKT FLO: Nakerwa na hali ya mchumba wangu kukoroma anapolala

Mpendwa Daktari, Mchumba wangu hukoroma sana anapolala, jambo ambalo hunikera sana. Suluhu ya kudumu kwa tatizo hili ni ipi? Ezrah,...

SHINA LA UHAI: Tahadhari minyoo huathiri wakubwa kwa wadogo

NA WANGU KANURI WAKENYA zaidi ya milioni 10 wanaugua maradhi ya minyoo huku wengine milioni 16 wakiwa kwenye hatari ya kuugua maradhi...

Wanafunzi wanufaika na sare za shule

Na MERCY KOSKEI Zaidi ya watoto 250 kutoka familia maskini za vitongoji duni vya Rhonda na Mwariki, Kaunti ya Nakuru wamenufaika na sare...

DINI: Kusamehe ni uhodari na ushujaa mkubwa

NA PADRE FAUSTINE KAMUGISHA KUSAMEHE ni ushujaa. “Walio dhaifu hawawezi kusamehe kamwe. Msamaha ni sifa ya wenye nguvu,” alisema...

Mtego wa Azimio ulivyomnasa Ruto

NA BENSON MATHEKA MAZUNGUMZO kuhusu maridhiano yanayohusisha wabunge wa miungano miwili ya kisiasa nchini yameonyesha dalili za kugonga...