• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 5:39 PM

JAMVI LA SIASA: Maasi ya Raila ni ‘moto wa karatasi’

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga anapotarajiwa kuongoza mkutano wa pili wa hadhara jijini Nairobi...

WALIOBOBEA: Soita aliifaulisha miradi mingi ya makao katika enzi ya Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK PETER Soita Shitanda alikuwa kile ambacho waziri katika serikali ya Rais Mwai Kibaki alipaswa kuwa....

DARUBINI YA WIKI, Januari 29, 2023  

DARUBINI YA WIKI, Januari 29, 2023 Raila: Tulishinda kwa haki na ukweli Mhariri: Baada ya uchaguzi, huu ni wakati wa kuanza kuponya...

KASHESHE: Elba aipa shavu KE

NA SINDA MATIKO MWIGIZAJI staa Idris Elba ameipa shavu Kenya, akiitaja kuwa moja kati ya sehemu anazozizimia. Kwenye mahojiano yake...

Jared Mwanduka: Mwanzilishi wa programu ya LearnsoftERP inayorahisisha kazi shuleni

Na MAGDALENE WANJA HATA kabla ya kufuzu katika Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) mnamo mwaka 2016, Jared Mwanduka tayari alikuwa amevumbua...

Fahamu jinsi unavyoweza kuhifadhi mazingira kwa kutumia jiko linalotegemea nishati ya miale ya jua

NA MAGDALENE WANJA UTOTONI, Justine Abuga alitaka kuwa daktari kwani alipenda sana masomo ya sayansi na alitaka kusaidia jamii...

DOMO: Yani Insta Babes hawaishi visanga

NA MWANAMIPASHO WIKI hii imekuwa nzito kweli na yeye matukio kibao. Sio kwa baadhi yenu kuibuka na picha za uchi za binti...

KASHESHE: Zuchu ‘ajishtaki’

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI wa lebo ya WCB Zuhura Othman almaarufu Zuchu kamtaka mumewe asiwe na matarajio makubwa sana juu yake hasa...

KIKOLEZO: Vita vya MCSK, KECOBO vyafikia patamu

NA SINDA MATIKO MALUMBANO kati ya shirika la Music Copyright Society Of Kenya (MCSK) na Bodi ya Hakimiliki nchini - Kenya Copyright...

NGUVU ZA HOJA: Walimu wa lugha ya Kiswahili waandaliwe vyema kwa ajili ya Mtaala wa Kiumilisi (CBC)

NA PROF JOHN KOBIA WANAFUNZI wa gredi ya saba wanatarajiwa kuanza masomo yao ya sekondari ya awali Jumatatu wiki ijayo. Hawa ni...

Dhana ya Utamaushi inavyokuzwa katika ‘Chozi la Heri’

JUMA hili tutashughulikia namna wahusika mbalimbali katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ walivyotamauka. Ridhaa anatamauka kufuatia...

‘Wiki ya Lugha za Kiafrika’ ni mwamko mpya kuhusu nafasi ya lugha za kiasili katika elimu

NA BITUGI MATUNDURA MBONA tunaonea aibu lugha zetu za asili? Jibu la swali hili linapatikana katika kuitalii hali ya jinsi ambavyo...