• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 3:04 PM

JUKWAA WAZI: Junet, Ichung’wa wakabana koo kuhusu ‘umahsusi’ wa Linturi wizarani

NA WANDERI KAMAU BILA shaka, ni hitaji la msingi kwa waziri kufahamu majukumu anayofaa kutekekeza katika wizara aliyoteuliwa...

JUNGU KUU: Mzozo mpya Meru mtihani kwa Ruto

NA WANDERI KAMAU MASAIBU yanayomkumba Gavana Kawira Mwangaza wa Meru, yamefungua ukurasa mpya kuhusu mivutano ambayo imekuwepo kati ya...

DARUBINI YA WIKI: Toleo Nambari 08, Oktoba 23, 2022

DARUBINI YA WIKI Toleo Nambari 08 | Oktoba 23, 2022 Vita vya Kenya DRC KAULI YA MHARIRI: DRC thabiti ni nzuri kwa eneo letu ...

HUKU USWAHILINI: Bwana, huwa tunajichosha huku sherehe hadi za talaka!

NA SIZARINA HAMISI WATU huku Uswahilini tumechoka. Tumechoka na shughuli ambazo hazina tija na zinatuletea jakamoyo na wakati...

MALEZI KIDIJITALI: Teknolojia inajenga na kuumbua familia vilevile

TEKNOLOJIA inatawala kila sehemu ya maisha katika karne hii na wazazi wasiokubali au kujiandaa wanaweza kuathiri malezi ya watoto wao na...

BAHARI YA MAPENZI: Mume, mke hawawezi ‘urafiki wa kawaida’

SIZARINA HAMISI Na BENSON MATHEKA KWAMBA wanandoa wanaweza kuwa huru kwenda kuvinjari na marafiki zao wa jinsia tofauti wakiwa peke yao ni...

PENZI LA KIJANJA: Inauma kukataliwa lakini heri kujiondoa

NA BENSON MATHEKA NI miaka mitatu sasa na Franco anasema japo Mary hajamkubali ataendelea kumrushia mistari hadi atapoingia...

DOMO: Huku kuanika tumbo kwasinya

NA MWANAMIPASHO KUNA wimbo wa zilizopendwa niliosikiliza juzi, ukanikuna akili. Sijui jina la wimbo ila najua wasanii walotunga...

MAWAIDHA YA KIISLAMU: Tawakkul ni nguzo muhimu kwa Waislamu wote

NA HAWA ALI SIFA zote njema anastahiki Mwenyezi Mungu Subuhaanahu wata’ala, mwingi wa rehema na mwenye kurehemu. Swala na salamu...

OFAB yatuza wanahabari walioripoti vyema mfumo wa bioteknolojia kuboresha kilimo

NA SAMMY WAWERU WANAHABARI wa Kenya ambao wameonyesha umahiri katika kuripoti matumizi ya mfumo wa Bioteknolojia kwenye kilimo...

Faida anazozipata mtu kwa kula tanipu

NA MARGARET MAINA [email protected] MBOGA hii ina ladha na virutubisho vingi ambavyo ni lazima ujumuishe katika mlo wako mara kwa...

UFUGAJI: Mfugaji anayekumbatia kilimo-mseto afurahia matunda ya juhudi zake

NA PETER CHANGTOEK KATIKA shamba lenye ukubwa wa ekari tatu katika eneo la Iviani, karibu na barabara ya Kangundo, Kaunti ya Machakos,...