• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

MWALIMU WA WIKI: Damaris ni zaidi ya mwalimu bora

NA CHRIS ADUNGO UALIMU ni kazi inayotaka moyo. Zaidi ya kuwasilisha somo darasani, mwalimu pia ni mzazi wa wanafunzi wote, rafiki wa...

PAUKWA: Ulevi wa Magongo wamtosa mocharini

NA ENOCK NYARIKI ‘‘AFANDE huyu ametuacha mkono,’’ afisa aliyetega sikio kwenye kidari cha Magongo ili kuusikiliza mpumuo wake...

TALANTA: 4K Club ya aina yake

NA PATRICK KILAVUKA KUSTAWISHWA kwa klabu ya Kilimo mwaka jana katika shule ya msingi ya Muguga Green, kaunti ndogo ya Westlands, Kaunti...

JUNGU KUU: Hatari ya magavana waliomaliza mihula yao kuwa maseneta

NA BENSON MATHEKA HUENDA utawala wa magavana kadhaa ukakosa kupigwa darubini baada ya watangulizi wao kushinda useneta. Wachanganuzi...

MIKIMBIO YA SIASA: Weta acheza pata potea

NA CHARLES WASONGA HUENDA Seneta Mteule wa Bungoma Moses Wetang’ula anacheza karata ya pata potea kufuatia uamuzi wake wa kujitosa...

KIGODA CHA PWANI: Yaelekea PAA haijatosha kuwa sauti ya Wapwani

NA PHILIP MUYANGA JE chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kimeweza kutimiza matarajio ya kuwa chama chenye ushawishi mkubwa wa...

DINI: Mfumo mzima wa maisha ni orodha, andaa yako pia!

NA PADRE FAUSTINE KAMUGISHA MAISHA ni orodha. Kuna orodha ya vipaumbele. Kuna orodha ya matendo ya huruma. Kuna orodha ya amri za...

WALIOBOBEA: Nyota ya Kituyi ilianza kung’aa akiwa chuoni

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK JINSI kijana Daudi alivyomuangusha Goliath kwa vipande vitano vya mawe huku waliotazama wakikosa kuamini,...

KAULI YA WALLAH BIN WALLAH: Kuvumiliana na kupendana ndiko huleta amani na umoja katika nchi yoyote ile

NA WALLAH BIN WALLAH UVUMILIVU ndio ufunguo wa faraja na amani! Nchi yetu imetunukiwa neema na faraja tele! Lakini badala ya kuneemeka na...

NDIVYO SIVYO: Aisee, ni kosa kusema kuwa simu imezima!

NA ENOCK NYARIKI AGHALABU nguvu za betri ya simu zinapopungua, baadhi ya watu husema; ‘Simu yangu imezima.’ Yamkini kauli hii...

GWIJI WA WIKI: Ryan Mwenda

NA CHRIS ADUNGO MATAMANIO ya Ryan Mwenda, 14, ni kutikisa ulingo wa filamu kimataifa kiasi cha kufikia kiwango cha staa wa Amerika,...

VYAMA: Chama cha Kiswahili katika shule ya msingi ya Kinderworld Academy

NA CHRIS ADUNGO CHAMA cha Kiswahili katika shule ya msingi ya Kinderworld Academy iliyoko South C jijini Nairobi, hushughulikia mahitaji...