• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 6:55 AM

Embarambamba akubali kurudi kwa laini

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Christopher Nyangwara Mosioma almaarufu ‘Embarambamba’ amesema anaacha kuvalia mavazi ya...

Askofu Yohana: Ukipata mke mcha Mungu, umepata mgodi wa dhahabu

NA MWANGI MUIRURI ASKOFU Danson Gichuhi almaarufu Yohana ambaye amegonga vichwa vya vyombo vya habari kwa kutoa mapepo kutoka kwa waumini...

Walinzi wawili waumizwa na wezi wa mananasi ya Del Monte

NA MWANGI MUIRURI WALINZI wawili wa kampuni ya G4S waliokuwa wakishika doria katika shamba la mananasi la kampuni ya Del Monte,...

Mchapishaji vitabu maarufu, Henry Chakava aaga dunia

NA WANDERI KAMAU MCHAPISHAJI maarufu wa vitabu nchini kwa muda mrefu, Dkt Henry Chakava, ameaga dunia. Dkt Chakava,77, ambaye hadi kifo...

Wenye saluni wajitetea ‘umbea’ wao si wa kubomoa familia

NA WANDERI KAMAU WAFANYAKAZI katika saluni wamejitokeza kujitetea dhidi ya madai ya baadhi ya wanaume kwamba gumzo linalopigwa wanawake...

Wakora wanaotumia walemavu kusajili biashara kukwepa ushuru wawindwa Mlimani

NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wa usalama eneo la Mlima Kenya wamezindua msako dhidi ya wafanyabiashara wanaosemekana kutumia walemavu kusajili...

Staa wa ‘Mali Safi Chito’ apambania hakimiliki ya wimbo wake

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Millicent Jerotich almaarufu ‘Marakwet Daughter’ amedai kwamba kuna kundi linalotaka kuchukua hakimiliki...

Safu yote ya Seneti kusikiliza kesi dhidi ya Dkt Monda

NA CHARLES WASONGA VIKAO vya kusikiliza kesi dhidi ya Naibu Gavana wa Kisii Robert Monda aliyetimuliwa na madiwani,...

Barua kuzima wanafunzi Mlima Kenya kumlaki Rais yazua gumzo

NA MWANGI MUIRURI MTINDO wa wanasiasa na wasimamizi wa taasisi kama makanisa na shule kufungia msafara wa Rais aliye mamlakani nchini...

Yalikuwa makosa kuunganisha polisi wa utawala na wa kawaida – Wadadisi

NA MWANGI MUIRURI WADADISI wa masuala ya usalama sasa wanaungama kwamba hatua ya Septemba 13, 2018, ya kuunganisha polisi wa utawala...

Mcheshi Muthee Kiengei sasa kutawazwa kuwa Askofu

NA WANDERI KAMAU NI dhahiri sasa kuwa Pasta Ben Gathungu almaarufu 'Muthee Kiengei' atatawazwa kuwa Askofu. Kulingana na tangazo...

Chama cha ushirika kinavyotafutia wafugaji soko la maziwa

NA SAMMY WAWERU    IKIWA kuna manufaa ambayo wafugaji wa ng’ombe wa maziwa katika Kaunti Ndogo ya Kieni Magharibi, Nyeri,...