• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 10:55 AM

Simulizi ya mwanahabari aliyehudumu mochari na kuchuuza kondomu 

NA MWANGI MUIRURI ILI kutimiza ndoto yake ya kuwa mwanahabari, Mike Githuki, 39, alipitia njia ndefu iliyompitishia biashara ya magendo,...

Landilodi atumbukia kwenye choo alichopuuza malalamishi ya wapangaji

NA MWANGI MUIRURI  MWANAMKE wa miaka 60 ambaye ni mmiliki wa nyumba ya kukodisha katika Kaunti ya Kirinyaga alinusuriwa kifo baada ya...

Transfoma ya polo nusra ing’olewe na mbwa akijisaidia kwenye shamba usiku

NA MWANGI MUIRURI  JOMBI mmoja katika Kaunti ya Nyeri anauguza majeraha ya sehemu za nyeti baada ya kuvamiwa na mbwa akijisaidia haja...

Umoja wa Nyanza na Mlima Kenya waja katika kura ya 2027?

NA MWANGI MUIRURI  MIRENGO kadha ya kisiasa eneo la Mlima Kenya imeanza harakati za kuchumbia mrengo wa Azimio ambao utaachwa na upweke...

Malalamiko ya mifugo wakaidi

NA RICHARD MAOSI MAMA mboga kutoka mjini Naivasha na Gilgil, wameripoti kuhangaishwa na mbuzi, kondoo na ng'ombe wanaozurura sokoni bila...

Oga Obinna ashangaa kuambiwa ustaa wake hauruhusu kuishi nyumba ya kupanga

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Steve Thompson Maghana almaarufu Oga Obinna, ameshangaa baada ya kuambiwa ni makosa makubwa kwa mtu maarufu...

Jimmy Gait afichua sababu za kuwa singo akiwa na miaka 44  

NA FRIDAH OKACHI MWIMBAJI wa nyimbo za injili James Ngaita Ngigi almaarufu Jimmy Gait amefichua sababu za kusalia singo, licha ya kuwa...

Upatanishaji wa Uhuru, Gachagua washika kasi

NA WANDERI KAMAU JUHUDI za kuwaunganisha tena Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na Naibu Rais Rigathi Gachagua zimeshika kasi, hilo likitajwa...

Migogoro ya ardhi yapungua tangu kitabu kuanika makateli

NA KALUME KAZUNGU MIGOGORO kuhusu suala tata la ardhi katika Kaunti ya Lamu imepungua pakubwa tangu kuzinduliwa kwa kitabu maalumu...

Maiti za Shakahola: Mung’aro amtuma Jumwa kwa Kindiki

NA ALEX KALAMA GAVANA wa Kaunti ya Kilifi Gideon Mung'aro amemsihi Waziri wa Jinsia Aisha Jumwa kuzungumza na mwenzake wa Usalama wa...

Diamond Platnumz aelekea ‘Zenji’ kumuomba Zuchu msamaha

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI mmiliki wa lebo ya WCB Wasafi Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz, yuko njiani kuelekea visiwani...

Mahakama yaamua muratina si pombe haramu

NA MWANGI MUIRURI WATU wengi katika jamii ya Agikuyu sasa wanasherehekea uamuzi wa Mahakama Kuu kwamba pombe aina ya Muratina si haramu...