NA MWANGI MUIRURI FAMILIA ya mwanafunzi wa kidato cha tatu aliyezama Mto Chania akijipiga selfie Januari 10, 2023 imeitaka serikali...
NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA kinara wa kundi haramu la Mungiki Bw Maina Njenga ameshikilia kwamba yeye ndiye kinara wa siasa za Mlima...
NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Kisii, Simba Arati amesimulia jinsi vurugu zilizuka katika hafla aliyokuwa akisambaza basari katika eneobunge...
NA WINNIE ATIENO WALIMU wakuu kutoka ukanda wa Pwani wamehusisha matokeo duni kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) na...
NA RICHARD MAOSI WAMILIKI wa vilabu vya burudani na baa jijini Nairobi wameomba serikali kulegeza kamba ili kuwaruhusu mabaunsa wenye...
NA FRIDAH OKACHI BAADHI ya wajakazi jijini Nairobi wametoa malalamishi kwamba mabosi wao huwafanyia 'uchawi mamboleo' kwa kuwapa mavazi...
NA WANDERI KAMAU WANAVIJIJI sasa wamekosoa taratibu zilizotolewa kwa Wakenya na Shirika la Huduma kwa Wanyamapori Nchini (KWS) kwa wakazi...
NA WANDERI KAMAU ALIPOCHAGULIWA kama mbunge na wakazi wa eneobunge la Mumias Mashariki, hilo lilionekana kuwa mwanzo mpya wa kisiasa kwa...
NA WANDERI KAMAU WAKULIMA wa kahawa katika Kaunti ya Nyeri sasa wanamtaka Rais William Ruto kutekeleza Mpango wa Kuboresha Bei za Mazao...
NA LABAAN SHABAAN RAIS William Ruto hatakaa katika Ikulu ya Nairobi kwa miezi miwili ijayo sababu ya ukarabati wa jengo hilo...
Na MWANGI MUIRURI WAKENYA waliokuwa wametamauka kuhusu watakakofuatilia taifa la Tanzania likishiriki mitanange ya dimba la Taifa Bora...
Na MERCY KOSKEI AKIWA na umri wa miaka 64, Sally Njeri amekuwa wa msaada mkubwa kwa wakazi wa Rongai, Nakuru na maeneo ya karibu, akiwa...