• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

DOMOKAYA: Katika ndoa za maceleb, nyuma ya pazia kuna vijimambo kama ndoa zingine tu

NA MWANAMIPASHO WANGWANA walishatuambia miaka ile, “lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani laja”. Mwaka jana nipo kijiweni,...

Filamu ya Bobi Wine yapata uteuzi Oscars

NA WANDERI KAMAU FILAMU iliyotayarishwa na mwanasiasa Robert Kyagulanyi almaarufu 'Bobi Wine' ambaye pia ni staa mkubwa wa muziki nchini...

Mr Seed akomoana na mkewe mtandaoni kwa kusema ‘mwanamume ni wa wanawake wengi’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili Moses Tarus Omondi almaarufu 'Mr Seed' ameomba msamaha kwa mkewe Nimo baada ya...

Wezi watumia machozi kutekeleza uporaji mazishini

NA WANDERI KAMAU KUMEZUKA mtindo mpya miongoni mwa waporaji, ambapo sasa wamekuwa wakitumia hafla za mazishi kuwapora watu. Ijapokuwa kwa...

Mrembo wa kusaka mamilioni kwa mahindi aona dalili za ndoa 2027

NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyeapa kwamba ataolewa tu baada ya kuwa milionea katika kilimo cha mahindi, sasa anasema fatalaiza ya...

Wanandoa maarufu na mastaa Pascal Tokodi na Grace Ekirapa waachana

RAJAB ZAWADI NA FRIDAH OKACHI MIEZI kadhaa baada ya ndoa ya Philip Karanja maarufu kama Director Phil, na mwigizaji Kate Actress...

NGUVU ZA HOJA: Tafsiri na ukalimani zijumuishwe katika mtaala wa shule za upili

NA PROFESA JOHN KOBIA UTEKELEZAJI wa mtaala wa Umilisi katika mfumo wa elimu unaendelea ingawa kuna changamoto nyingi. Wanafunzi wa...

Wanafunzi 25 waliokosa KCPE kujiunga na shule za upili

NA GEORGE ODIWUOR WANAFUNZI 25 waliokosa kufanya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE 2023) katika eneobunge la Homa Bay...

Wenyeji mjini Kenol kuchanga Sh200,000 kuburudisha polisi

NA MWANGI MUIRURI RAIA katika eneobunge la Maragua wanaolalamika kulemewa na gharama ya maisha kiasi cha kuhangaika kupata chakula na...

Jinsi YouTube inavyoendelea kuokoa vijana kujitengenezea mkwanja na kubadilisha maisha yao

NA WANDERI KAMAU KUTOKANA na kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira nchini na duniani kote, vijana wengi wamekuwa wakitafuta njia mbadala...

Namna ya kuepuka ugonjwa wa macho mekundu

ALEX KALAMA Na HASSAN WANZALA VISA vya ugonjwa wa macho mekundu almaarufu red eyes vimeripotiwa kwa wingi katika eneo la ukanda wa Pwani...

Eric Omondi kufanya mazungumzo na Jackie Maribe kujiondolea lawama ya ‘deadbeat’

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Eric Omondi amebainisha wazi kuwa anataka kujiondolea lawama ya ‘deadbeat’, jina linalotumiwa...