• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 10:55 AM

Fahamu jinsi ‘airbags’ zinavyofanya kazi kumlinda mwathiriwa wa ajali

NA WANDERI KAMAU JE, unafahamu jinsi airbags (mifuko ya hewa) zinavyomzuia mtu kuumia ajali ya gari inapotokea barabarani? Huku watu...

Jamii yairai familia isiyoamini tiba za kisasa ibadili msimamo

NA FRIDAH OKACHI FAMILIA moja katika eneo la Ngando, eneobunge la Dagoretti Kusini, haijakumbatia matibabu ya kisasa...

Wanawake wasiojua kuendesha baiskeli hatarini kukosa waume

NA KALUME KAZUNGU MPEKETONI ni miongoni mwa miji muhimu ipatikanayo katika eneobunge la Lamu Magharibi. Mji huo ni ngome kuu ya...

Manda yageuka maskani ya mapumziko kwa simba, chui na nyoka

NA KALUME KAZUNGU MANDA ni miongoni mwa zaidi ya visiwa 35 vya Lamu ambapo tangu jadi simba, chui na nyoka hupendelea kuzurura. Kisiwa...

Miracle Baby wa muziki wa kidunia aapa kumtumikia Mungu

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Gengetone, Peter Mwangi almaarufu 'Miracle Baby' amefichua nia yake ya kuwa mhubiri pindi tu...

Men’s Conference: Kongamano la mashambulizi shtukizi ya kulinda ‘boychild’

NA WANDERI KAMAU MIAKA michache iliyopita, neno ‘Men’s Conference’, yaani Kongamano la Wanaume, lilikuwa tamko tu la kimzaha kwenye...

Wanawake Lamu wadai ladha ya ndoa ni ‘kuwakalia chapati’ waume

NA KALUME KAZUNGU WANAWAKE katika Kaunti ya Lamu wametoa ushauri kwa wanaume wanaotawaliwa na kasumba ya taasubi ya kiume na kuwaambia...

Azziad ajigamba ni Gen Z hodari wa kukoroga lugha ya mama

NA FRIDAH OKACHI VIJANA wengi wa kizazi cha sasa almaarufu Gen Z na Millenial, mara nyingi hujifanya hawajui lugha ya kwanza...

Valentino: Wanaume wenye mabibi wengi wataka hakikisho SHIF itawajali

NA MAUREEN ONGALA WANAUME wenye wake kuanzia wawili kuendelea wameitaka Wizara ya Afya kueleza namna ambavyo familia zao zitafaidika...

Wahubiri sauti ya mnyonge

NA WANDERI KAMAU JE, unawafahamu viongozi wa kidini waliowahi kujitokeza na kuwa watetezi wa raia dhidi ya tawala zilizopo bila kuogopa...

Familia zahangaishwa na ‘ugonjwa’ wa wazee kupotea jijini

NA FRIDAH OKACHI IMEBAINIKA kwamba baadhi ya wazee, waume kwa wake, hukumbwa na matatizo ya kusahau njia wanapokuwa wametoka nyumbani...

Sababu za korongo kuondoka Ziwa Nakuru

NA PAULINE ONGAJI KWENYE ufuo wa Ziwa Nakuru, Bw Nicholas Rioba, mkazi wa eneo la Lunga Lunga, Kaunti ya Nakuru, anafurahia mandhari murwa...