• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 2:07 PM

Diana Marua ashambulia mwalimu wake aliyewahi kumwambia ‘hatafika mbali’

NA MERCY KOSKEI Mwanakontenti wa You Tube Diana Marua amewaacha wanamitandao kwa mshangao baada ya kumkosoa mwalimu wake wa zamani wa...

Zari amtia wivu Diamond kwa kuolewa na ‘kibenten’

NA MWANDISHI WETU ZARI Hassan almaarufu The Bosslady, aliyekuwa mpenziwe mwanamuziki tajika wa Bongo Diamond Platnumz, alifunga ndoa na...

Siasa ilibonda vibaya mifuko yangu, akiri mcheshi MC Jessy

Na SINDA MATIKO MCHEKESHAJI MC Jessy anadai mfuko wake ulibondeka vibaya mno kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Jessy aliwania kiti cha...

Makanisa ya kiasili yalia kutelekezwa na wanasiasa baada ya uchaguzi

NA TITUS OMINDE Makanisa ya kiasili ambayo yalichangia pakubwa juhudi za Rais William Ruto za kuingia Ikulu mwaka 2022 kwa kukumbatia...

Dini inavyokuza maudhui katika riwaya ‘Chozi la Heri’

NA JOYCE NEKESA JUMA hili tutarejelea suala la dini linavyoendeleza maudhui katika riwaya ya ‘Chozi la Heri’ tukirejelea swali...

GWIJI WA WIKI: Dkt Alexander Rotich

NA CHRIS ADUNGO KATI ya masomo yote aliyoyafanya Dkt Alexander Rotich katika Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCE) mnamo 1983,...

Aliyepandikizwa nywele husubiri kati ya mwaka mmoja na mwaka mmoja na nusu kujionea matokeo

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Jamal Marlow almaarufu Jamal Rohosafi kwa mara ya kwanza amezungumza baada ya kufanyiwa upasuaji wa...

Wito kwa walioambukizwa HIV wajitokeze waziwazi kuepusha maambukizi ya mama hadi kwa mtoto

NA ALEX KALAMA WADAU wa afya katika Kaunti ya Kilifi wameelezea hofu yao, baada ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama hadi...

Ifahamu ngoma maalumu ya kujivunia ubikira wa wanawake wa Uswahilini

NA KALUME KAZUNGU KWA miaka mingi ngoma imesalia kuwa njia mwafaka ya waja kuhifadhi utamaduni. Ni kupitia ngoma ambapo jamii nyingi...

Sekta ya kahawa yayumba licha ya mageuzi na ahadi nyingi

Na SAMMY WAWERU JAMES Wamae, amekuwa katika kilimo cha kahawa tangu 2005 na ikiwa kuna mwaka aliotarajia mauzo yangekuwa bora ni mwaka...

Nilisema Omosh alikaa muigizaji wa video ya harusi mkadhani ni utani – Alex Mathenge

Na MWANDISHI WETU Mcheshi Alex Mathenge amesisitiza kuwa mahusiano ya mwanamuziki Esther Akoth almaarufu Akothee na mpenziwe Denis...

SHINA LA UHAI: Uhaba wa dawa za TB wahatarisha afya ya Wakenya

NA PAULINE ONGAJI AGOSTI 2023, Bw Emanuel Parsare, mkazi wa kijiji cha Kiserian, eneo la Marigat, Kaunti ya Baringo, alizuru hospitali...