• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 4:25 PM

Ajabu ya hedhi za wanawake kuwa na njama ya kuchocheana

Na WANGU KANURI JE, siku zako za hedhi zimewahi kuchochewa na hedhi ya mwanamke mwingine? Wanawake wengi hujipata kwenye hali hii...

Akothee adai kuwa mjamzito baada ya kuachana na mumewe mzungu

NA MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI tajika Esther Akoth maarufu kwa jina la jukwaani kama Akothee amewaacha wengi na maswali baada ya kudai...

Biashara za uchuuzi wa dawa za mende na panya mitaani kufungwa  

NA SAMMY WAWERU  BODI ya Kudhibiti Kemikali Nchini ndiyo PCPB imetangaza kwamba biashara za wachuuzi wa dawa za mende na panya mitaani...

Ezekiel Odero aonya watu dhidi ya kusherehekea siku maalum ya kuzaliwa   

NA MERCY KOSKEI PASTA Ezekiel Odero mwanzilishi wa Kanisa la New Life Prayer Centre ameonya watu dhidi ya kusherehekea siku zao za...

Makahaba wakongwe waapa kukatalia mijini wakidai wanatafutia wajukuu maisha mazuri

NA RICHARD MAOSI MAKAHABA wakongwe wameapa kuendelea kukatalia mijini wakidai wanatafutia wajukuu wao maisha mazuri kabla ya...

Mhubiri Ng’ang’a ashangaza kwa kukataa sadaka ya Sh500

NA MWANDISHI WETU MCHUNGAJI tata wa Kanisa la Neno, James Maina Ng'ang'a amewaacha wengi kwa mshangao baada ya kukataa sadaka ya...

Akothee atishia kuzua fujo kwenye benki baada ya pesa zake kutolewa kwa ATM bila idhini  

NA MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI tajika Esther Akoth maarufu kwa jina la jukwaani kama Akothee, amefichua kuwa alipoteza kiasi kikubwa cha...

Letoo ‘amteua’ aliyekuwa mume wa Akothee kuwa Katibu Mkuu wa Masuala ya Nchi za Kigeni

NA SAMMY WAWERU MWANAMUZIKI maarufu, Esther Akoth, anayejulikana kama Akothee, anaendelea kuwa gumzo la mitandao ya kijamii, wasanii na...

Mwanamume aliyepooza kwa sababu ya Polio asimulia jinsi alivyoacha shule kwa kuchekwa na wenzake

NA KALUME KAZUNGU KILA anaposimama kuzungumza, iwe ni kwenye makongamano, mikutano au hata  kampeni zinazofungamana na afya, hasa suala...

PENZI LA KIJANJA: Jamaa huoa kwa wakati wake, huwa hapendi presha

NA BENSON MATHEKA KIPUSA, iwapo umeangukia barobaro ambaye ni chaguo lako la mume, usimharakishe akuoe. Kwanza unafaa kufahamu siri...

Mwanamuziki Kambua Mathu asimulia pandashuka za maisha akifichua kuhusu idadi kamili ya watoto aliozaa

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Kambua Mathu amezungumzia pandashuka zake maishani, akifichua akijifungua watoto wanne na wala si...

Isaac Mwaura kuweka kando jeans na kitenge baada ya kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali

NA FRIDAH OKACHI MSEMAJI wa serikali Isaac Mwaura amesema atabadilisha mtindo wa mavazi yake ambapo sasa ataweka kando jeans na mashati...