• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 6:50 PM

Dogo wa umri wa miaka 10 kuhutubia kongamano la tabianchi la ACS23

BONIFACE MWANGI Na WINNIE ONYANDO KIJANA Nigel Waweru, mwenye umri wa miaka 10, ameteuliwa kuhutubu katika kongamano la mabadiliko ya...

SHINA LA UHAI: Hatari, tija za mwanamke kujifungua akiwa na umri wa zaidi ya miaka 40

NA PAULINE ONGAJI PINDI baada ya pacha wake watatu kuzaliwa mwezi wa Aprili, Bi Purity Toyian, 42, aligundulika kuugua deep vein...

Maoni mseto kuhusu sare mpya za polisi baadhi wakitaka mifuko iondolewe

NA SAMMY WAWERU PINDI tu baada ya Idara ya Huduma ya Polisi Nchini (NPS) kuzindua aina mpya ya sare za maafisa wake, Wakenya...

Wataalam wa afya wataka sigara kupigwa marufuku nchini

NA SIAGO CECE WATAALAM wa afya wameitaka serikali kupiga marufuku kilimo cha tumbaku na matumizi ya sigara nchini wakisema inazidi...

Kuria alazimika kutumia bodaboda kuhudhuria mkutano wa mawaziri dereva wake alipochelewa kumchukua

NA SAMMY WAWERU  WAZIRI wa Biashara, Moses Kuria alilazimika kutumia bodaboda mnamo Jumanne, Agosti 29, 2023, kukwepa kuchelewa...

Nani walikuwa wamemteka nyara Bwanyenye Singh Rai? 

NA NYABOGA KIAGE Kizungumkuti kuhusu waliohusika na utekaji wa bwanyenye Singh Rai ambaye aliachiliwa jana Agosti 27, 2023 kinaendelea...

Kidosho wa Kirinyaga aliyeapa ataolewa akiwa milionea akiri ‘alirambwa’ na dalali kibiashara

NA MWANGI MUIRURI  KATIKA kisa kinachoelezea jinsi madalali huvuna hela nyingi kutoka kwa wakulima, Julai 5, 2023 Grace Wangechi Kamande...

Atwoli asifu Rais Ruto kwa ‘kufanya maisha ya Kenya kuwa rahisi kuliko ng’ambo’

NA SAMMY WAWERU KATIBU Mkuu wa muungano wa kutetea wafanyakazi nchini (Cotu), Francis Atwoli amemtaja Rais William Ruto kama mmoja wa...

Didmus Barasa: Tulipopeleka Raila Bondo, tulipaswa kuweka simba mlangoni 

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kimilili, Didmus Barasa amezua ucheshi akidai kiongozi wa upinzani, Raila Odinga anapaswa kuwekewa simba...

KINAYA: Gachagua atawaweza nyuki wa Ukambani aliochokoza?

NA DOUGLAS MUTUA RIGGY G amechokoza nyuki wa Ukambani! Anawezaje kuwaambia wamteme mwana wao mpendwa, Kalonzo Musyoka, kama...

Ababu ataka wabaya wa Azziad wakome kuzua madai ya uongo dhidi yake

NA RICHARD MAOSI WAZIRI wa Michezo Ababu Namwamba amevunja ukimya na kuweka wazi kwamba kivyovyote vile, hayuko kwenye uhusiano wa...

Wafugaji ng’ombe wa maziwa Gatundu waelimishwa kuhusu manufaa ya upandikizaji wa mbegu

NA LAWRENCE ONGARO WAFUGAJI wa ng'ombe wa maziwa wapatao 500 kutoka Gatundu walikongamana kwa mkutano wa hamasisho kuhusu ufugaji ambapo...