• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 11:05 AM

Uingereza na Ujerumani waambulia sare ya 3-3 katika Nations League uwanjani Wembley

Na MASHIRIKA UINGEREZA waliambua sare ya 3-3 dhidi ya Ujerumani katika pambano la mwisho la Kundi A3 kwenye Uefa Nations League mnamo...

Uholanzi, Croatia zatinga 4-bora

Na MASHIRIKA CROATIA na Uholanzi ndiyo mataifa ya kwanza kufuzu kwa nusu-fainali za UEFA Nations League baada ya kushinda mechi zao za...

Wales wateremshwa ngazi kwenye Nations League baada ya kutandikwa na Poland

Na MASHIRIKA WALES waliteremshwa ngazi kutoka makundi ya vikosi vya haiba kubwa kwenye Uefa Nations League baada ya Poland kuwapepeta...

Brigid Kosgei ajiondoa London Marathon kuuguza jeraha

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia ya mbio za kilomita 42 ya wanawake Brigid Kosgei amejiondoa kutoka makala ya 42 ya London...

Mkenya Karan Patel aibuka mshindi wa Rwanda Mountain Gorilla Rally

NA GEOFFREY ANENE DEREVA Mkenya Karan Patel akishirikiana na Tauseef Khan aliibuka mshindi wa duru ya Mbio za Magari za Afrika (ARC) ya...

Omanyala, Okutoyi washauri wanatenisi chipukizi jinsi ya kufaulu

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Ferdinand Omanyala na Angella Okutoyi waliwapa motisha wanatenisi 120 chipukizi walio chini ya umri wa miaka 12...

Kiungo wa Brazil, Allan, aondoka Everton na kuyoyomea UAE kuvalia jezi za Al-Wahda

Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa Brazil, Allan, 31, ameondoka kambini mwa Everton na kujiunga na kikosi cha Al-Wahda cha United Arab...

Richarlson aongoza Brazil kupepeta Ghana katika mechi ya kujinoa kwa fainali za Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar

Na MASHIRIKA FOWADI mpya wa Tottenham Hotspur, Richarlson Andrade, alifunga mabao mawili katika kipindi cha kwanza na kusalia Brazil...

GASPO Women ya KWPL yasajili 10

NA RUTH AREGE KLABU ya Gaspo Women ya Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), imesajili wachezaji 10 tayari kwa maandalizi ya msimu wa...

Jentrix Shikangwa na beki Ruth Ingotsi watarajiwa kujiunga na Simba Queens ya TZ

NA RUTH AREGE WACHEZAJI wawili wa Harambee Starlets - mshambulizi Jentrix Shikangwa na beki Ruth Ingotsi Mukalukho - wanatarajiwa...

Uhispania watandikwa nyumbani kwa mara ya kwanza baada ya miaka minne

Na MASHIRIKA UHISPANIA walishindwa katika uwanja wa nyumbani chini ya takriban miaka minne baada ya Uswisi kuwapokeza kichapo cha 2-1...

Kipchoge aifuta rekodi ya dunia ya kilomita 42 kwa nusu dakika Berlin Marathon

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Eliud Kipchoge ameweka rekodi mpya ya dunia ya mbio za kilomita 42 baada ya kushinda Berlin Marathon kwa saa...