Na MASHIRIKA REKODI iliyoshuhudia AC Milan wakishinda mechi saba mfululizo katika kampeni za Ligi Kuu ya Italia (Serie A)...
Na GEOFFREY ANENE WANAKRIKETI wa Kenya wako tayari kukaribisha Nepal kwa mechi tano za Twenty20 na tatu za ODI zitakazosakatwa Agosti 25...
Na MASHIRIKA LEEDS United waliendeleza mwanzo bora wa kutoshindwa katika mechi tatu za ufunguzi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) muhula...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Eric ‘Marcelo’ Ouma alifunga bao rahisi timu yake ya AIK ikilipua wenyeji Norrkoping 4-2 kwenye Ligi Kuu ya...
Na MASHIRIKA ALIYEKUWA fowadi wa Manchester City, Caroline Weir, alisaidia Real Madrid kudengua waajiri wake hao wa zamani kwenye raundi...
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City, walitoka nyuma kwa mabao 3-1 na kulazimishia wenyeji wao...
Na GEOFFREY ANENE AC PAOK anayochezea Mkenya Esse Akida imebanduliwa kwenye Klabu Bingwa Ulaya ya Wanawake baada ya kupoteza 4-0 dhidi...
Na MASHIRIKA HARRY Kane alifunga bao lake la 250 ndani ya jezi za Tottenham Hotspur mnamo Jumamosi na kusaidia kikosi hicho kukomoa...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Esse Akida ataongoza AC PAOK dhidi ya Rangers katika fainali ya shindano la pili la raundi ya kwanza la Klabu...
Na MASHIRIKA MFUMAJI Wilfried Zaha alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Crystal Palace kupepeta Aston Villa 3-1 katika Ligi...
Na MASHIRIKA ARSENAL waliendeleza ubabe wao katika kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kwa kutandika Bournemouth 3-0 mnamo...
IMETAYARISHWA NA CHRIS ADUNGO GOLIKIPA na nahodha wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani, Manuel Neuer, sasa anajiandaa kuishi...