• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 5:39 PM

Atalanta yapiga AC Milan breki kali ligini

Na MASHIRIKA   REKODI iliyoshuhudia AC Milan wakishinda mechi saba mfululizo katika kampeni za Ligi Kuu ya Italia (Serie A)...

Kenya kuvaana na Nepal mechi 8 za kriketi Nairobi

Na GEOFFREY ANENE WANAKRIKETI wa Kenya wako tayari kukaribisha Nepal kwa mechi tano za Twenty20 na tatu za ODI zitakazosakatwa Agosti 25...

Leeds wazima Chelsea katika EPL uwanjani Elland Road

Na MASHIRIKA LEEDS United waliendeleza mwanzo bora wa kutoshindwa katika mechi tatu za ufunguzi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) muhula...

Beki Ouma afungia AIK bao tamu ikilipua Norrkoping

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Eric ‘Marcelo’ Ouma alifunga bao rahisi timu yake ya AIK ikilipua wenyeji Norrkoping 4-2 kwenye Ligi Kuu ya...

Real Madrid wadengua vipusa wa Man-City kwenye gozi la UEFA

Na MASHIRIKA ALIYEKUWA fowadi wa Manchester City, Caroline Weir, alisaidia Real Madrid kudengua waajiri wake hao wa zamani kwenye raundi...

Man-City na Newcastle nguvu sawa katika EPL ugani St James’ Park

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City, walitoka nyuma kwa mabao 3-1 na kulazimishia wenyeji wao...

Mkenya Akida na AC PAOK waaga Klabu Bingwa Ulaya baada ya kichapo

Na GEOFFREY ANENE AC PAOK anayochezea Mkenya Esse Akida imebanduliwa kwenye Klabu Bingwa Ulaya ya Wanawake baada ya kupoteza 4-0 dhidi...

Harry Kane atambisha Tottenham dhidi ya Wolves katika EPL

Na MASHIRIKA HARRY Kane alifunga bao lake la 250 ndani ya jezi za Tottenham Hotspur mnamo Jumamosi na kusaidia kikosi hicho kukomoa...

Akida kuongoza mashambulizi ya PAOK dhidi ya Rangers Klabu Bingwa Ulaya wanawake

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Esse Akida ataongoza AC PAOK dhidi ya Rangers katika fainali ya shindano la pili la raundi ya kwanza la Klabu...

Zaha aongoza Crystal Palace kuzamisha Aston Villa ligini

Na MASHIRIKA MFUMAJI Wilfried Zaha alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Crystal Palace kupepeta Aston Villa 3-1 katika Ligi...

Arsenal watandika Bournemouth na kuendeleza ubabe wao katika EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL waliendeleza ubabe wao katika kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kwa kutandika Bournemouth 3-0 mnamo...

VITUKO: Neuer ajiandaa kuishi na Anika raha mustarehe

IMETAYARISHWA NA CHRIS ADUNGO GOLIKIPA na nahodha wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani, Manuel Neuer, sasa anajiandaa kuishi...