Na MASHIRIKA NAHODHA wa Leicester City, kipa Kasper Schmeichel, 35, ameagana rasmi na kikosi hicho na kuyoyomea Ufaransa kuvalia jezi za...
Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi na mchezaji mwenza Akanksha Nitture wanatarajiwa kupata kibarua kigumu katika robo-fainali ya...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala sasa pia ni mfalme wa michezo ya Jumuiya ya Madola katika umbali...
Na GEOFFREY ANENE KIUNGO wa mataifa ya Kenya na Serbia, Richard Odada amejiunga na Philadelphia Union inayoshiriki Ligi Kuu ya Amerika...
NA JOHN KIMWERE KLABU ya wanawake ya Lakers ni kati ya vikosi saba vinavyoshiriki kipute cha magongo ya Ligi Kuu msimu huu. Ingawa...
Na MASHIRIKA WEST Ham United watakutana ama na Viborg FF ya Denmark au B36 kutoka Faroe Islands katika raundi ya kwanza ya mchujo wa...
Na MASHIRIKA FULHAM wamemsajili kipa raia wa Ujerumani, Bernd Leno kutoka Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu uliogharimu kima cha Sh1.1...
NA PATRICK KILAVUKA MWANAKANDANDA Yassin Robert, 26, anasema soka ilimfaa sana maishani kwa sababu ndio ilimwezesha kusoma ikizingatiwa...
Na MASHIRIKA FOWADI matata wa Liverpool, Diogo Jota, 25, ametia saini mkataba mpya utakaomdumisha uwanjani Anfield hadi mwaka wa...
Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya Uhispania, Cesc Fabregas, 35, amejiunga na klabu ya Como nchini Italia kwa mkataba wa...
NA PATRICK KILAVUKA KASIKASI FC, Kisa FC na Melta Kabiria Youth ndio mabingwa wa Ligi ya Kanda, Kaunti na Kaunti Ndogo, FKF Nairobi West...
Na MASHIRIKA KIUNGO mzoefu wa Wales, Aaron Ramsey, 31, amejiunga na klabu ya Nice ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) bila ada...