• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 5:23 PM

Kipa Kasper Schmeichel ajiunga na Nice baada ya kuondoka Leicester City

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Leicester City, kipa Kasper Schmeichel, 35, ameagana rasmi na kikosi hicho na kuyoyomea Ufaransa kuvalia jezi za...

Kibarua kigumu cha Okutoyi robo-fainali ya tenisi ya Monastir

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi na mchezaji mwenza Akanksha Nitture wanatarajiwa kupata kibarua kigumu katika robo-fainali ya...

Omanyala azoa taji la mbio za mita 100 Jumuiya ya Madola

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala sasa pia ni mfalme wa michezo ya Jumuiya ya Madola katika umbali...

Mkenya-Mserbia Odada ajiunga na Philadelphia Union nchini Amerika kwa Sh24 milioni

Na GEOFFREY ANENE KIUNGO wa mataifa ya Kenya na Serbia, Richard Odada amejiunga na Philadelphia Union inayoshiriki Ligi Kuu ya Amerika...

HOKI: Lakers yaendelea kujiimarisha iwe tishio kwa wapinzani katika Ligi Kuu

NA JOHN KIMWERE KLABU ya wanawake ya Lakers ni kati ya vikosi saba vinavyoshiriki kipute cha magongo ya Ligi Kuu msimu huu. Ingawa...

West Ham kukutana na Viborg FF ya Denmark au B36 ya Faroe Islands katika mchujo wa Europa Conference League 2022-23

Na MASHIRIKA WEST Ham United watakutana ama na Viborg FF ya Denmark au B36 kutoka Faroe Islands katika raundi ya kwanza ya mchujo wa...

Fulham wasajili kipa Bernd Leno kutoka Arsenal

Na MASHIRIKA FULHAM wamemsajili kipa raia wa Ujerumani, Bernd Leno kutoka Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu uliogharimu kima cha Sh1.1...

Talanta ya soka ilimpa fursa ya kusoma kupitia ufadhili na kumpa nafasi ya kujikuza

NA PATRICK KILAVUKA MWANAKANDANDA Yassin Robert, 26, anasema soka ilimfaa sana maishani kwa sababu ndio ilimwezesha kusoma ikizingatiwa...

Diogo Jota sasa kuchezea Liverpool hadi mwaka wa 2027

Na MASHIRIKA FOWADI matata wa Liverpool, Diogo Jota, 25, ametia saini mkataba mpya utakaomdumisha uwanjani Anfield hadi mwaka wa...

Cesc Fabregas ajiunga na Como FC inayoshiriki Ligi ya Serie B nchini Italia

Na MASHIRIKA KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya Uhispania, Cesc Fabregas, 35, amejiunga na klabu ya Como nchini Italia kwa mkataba wa...

Kasikasi FC, Kisa FC na Melta Kabiriah Youth ndio mabingwa wa kategoria mbalimbali za Ligi FKF

NA PATRICK KILAVUKA KASIKASI FC, Kisa FC na Melta Kabiria Youth ndio mabingwa wa Ligi ya Kanda, Kaunti na Kaunti Ndogo, FKF Nairobi West...

Ramsey apata hifadhi mpya katika klabu ya Nice nchini Ufaransa baada ya kutemwa na Juventus

Na MASHIRIKA KIUNGO mzoefu wa Wales, Aaron Ramsey, 31, amejiunga na klabu ya Nice ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) bila ada...