• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Oleksandr Zinchenko sasa mali rasmi ya Arsenal

Na MASHIRIKA ARSENAL wamekamilisha uhamisho wa Oleksandr Zinchenko, 25, kutoka Manchester City kwa Sh4.3 bilioni. Sogora huyo raia wa...

Atletico Madrid wasuka mpango wa kumsajili Ronaldo

Na MASHIRIKA ATLETICO Madrid wamefichua mpango wa kumtia fowadi Antoine Griezmann, 31, mnadani ili kufanikisha uhamisho wa Cristiano...

Mfalme wa soka Afrika

Na MASHIRIKA RABAT, Morocco SADIO Mane ameingia ligi ya wachezaji walioshinda tuzo ya mwanasoka bora (mwanamume) mara mbili barani...

Vipusa wa Uswidi kuvaana na Uingereza kwenye nusu-fainali za Euro baada ya kudengua Ubelgiji

Na MASHIRIKA KOCHA Peter Gerhardsson amesema Uswidi watahitaji “mpango kabambe zaidi” ili kudengua wenyeji Uingereza kwenye...

USIU yalenga kumaliza mashindano ikiwa miongoni mwa timu Tano Bora Duniani 

Na JOHN KIMWERE  TIMU ya wanawake ya Chuo Kikuu cha Kimataifa cha USIU ya mpira wa kikapu ni miongoni mwa vikosi vitakaoshiriki fainali...

Eric Johana Omondi ajiunga na klabu ya soka ya Muangthong United nchini Thailand

NA GEOFFREY ANENE MCHEZAJI wa kimataifa wa Harambee Stars, Eric Johana Omondi amejiunga na Muangthong inayoshiriki Ligi Kuu nchini...

Wenyeji Uingereza wapepeta Uhispania na kufuzu kwa nusu-fainali za Euro za wanawake 2022

Na MASHIRIKA VIPUSA wa Uingereza walifuzu kwa nusu-fainali za Euro 2022 mwaka huu baada ya kutoka nyuma na kukomoa Uhispania 2-1 katika...

Mwanatenisi Okutoyi aanza kuona matunda ya jasho lake, VasPro yammwagia nusu milioni

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Angella Okutoyi ameeleza kufurahishwa na wadhamini kuanza kujitokeza kumpiga jeki baada ya kampuni ya kutoa...

Mashabiki wa Man Utd wafokea nahodha Maguire licha ya klabu kushinda mechi za kujipima nguvu Australia

Na MASHIRIKA MELBOUNE, Australia Nahodha wa Manchester United, Harry Maguire ameendelea kukabiliana na foka za mashabiki, licha ya...

Raha tele mwanariadha Kasyoka akimtunuku baiskeli daktari wa viungo Alex Otieno

Na GEOFFREY ANENE MNYANYUAJI wa zamani wa kimataifa wa Kenya Alex Otieno ameelezea furaha yake baada ya mwanzilishi wa Machakos Great...

Nyanza Prisons yajiwekea malengo ya kunyakua taji la Afrika miaka mitano ijayo

NA JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Maafande wa Nyanza Prisons ni kati ya vikosi ambavyo hushiriki kipute cha voliboli ya Ligi Kuu...

Ufaransa wazima matumaini ya vipusa wa Iceland kutinga robo-fainali za Euro 2022

Na MASHIRIKA WAREMBO wa Iceland waliaga kipute cha Euro 2022 baada ya kulazimishiwa sare ya 1-1 na Ufaransa mnamo Jumatatu usiku...