• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 11:38 AM

Kocha Tony Agesa: Tunapitia changamoto ya kukosa ufadhili

Na JOHN KIMWERE MCHEZO wa magongo sio maarufu kama ilivyo kandanda lakini una wachezaji wengi wanaume kwa wanawake waliotunukiwa vipaji...

Kinda Priston Adeya atafuta makali kama ya CR7 mbele ya lango

NA PATRICK KILAVUKA PRISTON Adeya, 20, anasema Cristiano Ronaldo CR7 amekuwa kielelezo chake katika fani ya soka kutokana na stadi za...

Kipchumba kuwania taji la London Marathon dhidi ya Bekele, Mo Farah

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Vincent Kipchumba atatumai kupiga hatua moja mbele atakaposhiriki London Marathon nchini Uingereza mnamo Oktoba...

Wamalwa aapa kubeba Homeboyz Prinsloo 7s

Na GEOFFREY ANENE CHIPUKIZI Amon Wamalwa ameapa kuendelea kuongoza Homeboyz kutesa kwenye raga za kitaifa za wachezaji saba kila upande...

Jack ataka kunoa chipukizi Arsenal

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza ALIYEKUWA kiungo mahiri wa Arsenal Jack Wilshere amefanya mazungumzo na klabu hiyo ya London Kaskazini...

Kocha Ouma asema kukosa kwa Starlets AWCON ni pigo kubwa

NA RUTH AREGE KOCHA wa zamani wa timu ya Harambee Starlets David Ouma amekiri kuwa, huu ulikuwa ni mwaka mzuri wa wanasoka wa kike...

Omanyala kutimka Amerika kwa mara ya kwanza kabisa

NA GEOFFREY ANENE NYOTA Ferdinand Omanyala atawasili katika Ubalozi wa Amerika jijini Nairobi leo Alhamisi kupata ruhusa ya kuingia...

Mwendwa yuko huru huria sasa!

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Kandanda Nchini (FKF) Nick Mwendwa yuko huru baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma...

Okutoyi aingia robo-fainali ya Wimbledon wachezaji wawili kwa wawili

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Angella Okutoyi akishirikiana na Mholanzi Rose Marie Nijkamp wameingia robo-fainali ya wachezaji wawili kila...

Wanavikapu wa Morans warejea nyumbani mikono mitupu

Na GEOFFREY ANENE KENYA Morans ilirejea nyumbani kutoka Misri mapema Jumanne baada ya kubanduliwa kwenye kampeni za kusalia katika vita...

Gor yasaka kocha mpya baada ya kumtema Spier

NA CECIL ODONGO VIGOGO wa soka nchini Gor Mahia wapo sokoni kusaka kocha mpya baada ya kuagana na mkufunzi Mjerumani Andrea Spier Julai...

Montreal anayochezea Wanyama yaona cha mtema kuni dhidi ya LA Galaxy

Na GEOFFREY ANENE CF Montreal imenyolewa bila maji 4-0 mikononi mwa Los Angeles Galaxy kwenye Ligi Kuu ya Amerika na Canada (MLS) ugani...