• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 8:31 PM

Kenya Simbas wararua Uganda bila huruma Kombe la Afrika la kuingia Kombe la Dunia

Na GEOFFREY ANENE KENYA Simbas wameanza kampeni ya kufuzu kushiriki Kombe la Dunia 2023 kwa kurarua Uganda Cranes kwenye robo-fainali ya...

Cherotich, Wanyonyi wakata tiketi ya Riadha za Dunia U20 Colombia

BERNARD ROTICH na AYUMBA AYODI MAUREEN Cherotich (mita 5,000), Heristone Wanyonyi (kutembea kwa haraka 10,000m), Winnie Chepng’etich...

Chipukizi wa Uingereza U-19 wazamisha Israel na kutwaa taji la Euro

Na MASHIRIKA UINGEREZA walitoka nyuma kwa bao moja na kufunga mabao mawili katika muda wa ziada katika ushindi wa 3-1 waliousajili dhidi...

Guendouzi sasa mali rasmi ya Marseille

Na MASHIRIKA KIUNGO mzoefu wa Arsenal, Matteo Guendouzi, 23, ameingia katika sajili rasmi ya Olympique Marseille kwa kima cha Sh1.3...

Romelu Lukaku arejea Inter Milan kwa mkopo baada ya kuagana na Chelsea

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI matata raia wa Ubelgiji, Romelu Lukaku, 29, amerejea Inter Milan kwa mkopo, takriban mwaka mmoja baada ya...

Montreal yanyamazisha Seattle Sounders ligi ya MLS

Na GEOFFREY ANENE CF Montreal anayochezea Victor Wanyama imerukia uongozi wa Ligi Kuu ya Amerika na Canada (MLS) baada ya kuduwaza...

Sadio Mane na Mohamed Salah watiwa katika orodha ya masogora 30 wanaowania taji la Mchezaji Bora wa Mwaka barani Afrika

Na MASHIRIKA WASHAMBULIAJI Sadio Mane na Mohamed Salah wamejumuishwa katika orodha ya masogora 30 wanaowania taji la Mchezaji Bora wa...

Uingereza wakomoa Italia na kufuzu kwa fainali ya Euro U-19 itakayowakutanisha na Israel

Na MASHIRIKA UINGEREZA walitinga fainali ya Euro kwa chipukizi wasiozidi umri wa miaka 19 mwaka huu baada ya kutoka nyuma na kukomoa...

Moraa na Korir mawindoni Stockholm Diamond League kinyume na ombi la AK

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Mary Moraa na Emmanuel Korir watatimka mbio za mita 800 kwenye duru ya nane ya Diamond League jijini...

Fernandinho arejea Brazil kuchezea Athletico Paranaense baada ya kuondoka Man-City

Na MASHIRIKA KIUNGO mkabaji na nahodha wa zamani wa Manchester City, Fernandinho Luiz Roza, 37, amejiunga upya na kikosi cha Athletico...

Divock Origi abanduka Liverpool na kuingia katika sajili rasmi ya AC Milan

Na MASHIRIKA ALIYEKUWA fowadi wa Liverpool, Divock Origi, ameingia rasmi katika sajili rasmi ya AC Milan ya Ligi Kuu ya Italia (Serie A)...

West Ham wasajili kipa matata wa PSG, Alphonse Areola, kwa mkataba wa miaka mitano

Na MASHIRIKA WEST Ham United wameimarisha zaidi safu yao ya ulinzi kwa kumsajili kipa mzoefu wa Paris Saint-Germain (PSG), Alphonse...