• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:45 AM

Liverpool kuipa Manchester City taji ikipigwa leo

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watavaana na Southampton leo Jumanne ugani St Mary’s katika pambano la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ambalo wana...

Kibai, Rono watwaa dhahabu Olimpiki ya Viziwi

Na VICTOR OTIENO akiwa Caxias do Sul, Brazil SYMON Kibai alitimiza lengo lake la kuzoa mataji mawili kwenye Olimpiki ya Viziwi nchini...

Shofco Mathare yaota mizizi ikilenga kupanda daraja

NA JOHN KIMWERE NI miongoni mwa vikosi vinavyotifua vumbi kali kwenye kampeni za ngarambe ya kipute cha Nairobi West Regional League...

Salah na De Bruyne kati ya masogora wanane wanaowania taji la Mchezaji Bora wa Mwaka katika EPL

Na MASHIRIKA KEVIN de Bruyne wa Manchester City na Mohamed Salah wa Liverpool ni miongoni mwa masogora wanane ambao wameteuliwa kuwania...

Liverpool wazamisha Chelsea na kutwaa Kombe la FA kwa mara ya kwanza tangu 2006

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walidumisha uhai wa matumaini ya kujizolea mataji manne msimu huu baada ya kupepeta Chelsea kwa penalti 6-5 na...

Haaland afunga bao katika mchuano wake wa mwisho kambini mwa Dortmund kabla ya kuhamia Man-City

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Erling Braut Haaland alifunga bao katika mchuano wake wa mwisho kambini mwa Borussia Dortmund kadri...

Kocha McCrath kutegemea ujuzi wake kuvumisha Kenya Sevens

AYUMBA AYODI na JOHN ASHIHUNDU KOCHA mpya wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande (Kenya Sevens), Damian McGrath...

Chelsea, Liverpool ni kisasi tu fainali ya FA

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA CHELSEA na Liverpool watalenga kulipizana kisasi watakapomenyana katika fainali ya Kombe la FA hii...

Juventus pazuri kuipiku PSG, Real kunasa Pogba

IMEKUSANYWA NA CECIL ODONGO VIGOGO wa Italia Juventus wamejiweka pazuri kuipiku Real Madrid na PSG ili kutwaa huduma za kiungo wa...

‘Muuaji’ De Bruyne aweka Man City pazuri

NA MASHIRIKA WOLVEHAMPTON, Uingereza KEVIN De Bryune aliongoza Manchester City kupiga hatua kubwa katika juhudi zao za kutetea...

Zetech Sparks yapania kumaliza tatu-bora KWPL

NA JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Zetech Sparks imepania kupambana mwanzo mwisho kuhakikisha inamaliza kati ya nafasi tatu bora kwenye...

Omanyala azamia zoezi kuelekea Italia, Czech

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya Afrika mbio za mita 100 Ferdinand Omanyala, ameimarisha mazoezi tayari kuelekea Bara Ulaya kwa...