Na MASHIRIKA ARSENAL walipepeta West Ham United 2-1 uwanjani London Stadium mnamo Jumapili na kurejea katika nafasi ya nne kwenye...
NA JOHN KIMWERE LICHA ya kuwa Kiganjo Kings FC inapitia changamoto nyingi za kifedha, ni miongoni mwa vikosi vinavyolenga kupambana...
GEOFFREY ANENE na AYUMBA AYODI BINGWA wa Olimpiki mbio za mita 100, Marcell Jacobs, ni mmoja wa mastaa wa kigeni wanaotarajiwa jijini...
Na MASHIRIKA BARCELONA walipaa hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kupokeza...
NA MASHIRIKA EVERTON waliweka hai matumaini ya kusalia katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) muhula ujao kwa msimu wa 69 baada ya kupiga...
NA GEOFFREY ANENE WESLEY Kiptoo na Caroline Rotich waliibuka washindi wa mbio za Pittsburgh Half Marathon zilizokuwa zikirejea baada ya...
Na MASHIRIKA CARLO Ancelotti aliweka rekodi ya kuwa kocha wa kwanza kushinda ligi katika ligi kuu tano za bara Ulaya baada ya kuongoza...
Na MASHIRIKA BORUSSIA Dortmund walipokezwa kichapo cha 4-3 kutoka kwa Bochum licha ya Erling Braut Haaland kuwafungia mabao matatu...
Na MASHIRIKA KOCHA Julian Nagelsmann amewataka wanasoka wake kuwa “wazalendo na kucheza kwa heshima ya nembo ya kikosi kwenye jezi...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliruka Liverpool na kurejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kupepeta Leeds...
Na MASHIRIKA NORWICH City waliteremshwa ngazi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada ya kupokezwa kichapo cha 2-0 kutoka kwa...
Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliweka hai matumaini ya kujizolea jumla ya mataji manne katika kampeni za msimu huu baada ya kupokeza Newcastle...