• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Beki Mkenya Okumu amaliza ukame mkali wa magoli Ubelgiji

Na GEOFFREY ANENE BEKI Joseph Okumu alipata bao lake la kwanza baada ya michuano 38 na kusaidia KAA Gent kuzima KV Mechelen 1-0 kwenye...

Spurs walazimishia Liverpool sare katika EPL ugani Anfield

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipoteza alama mbili muhimu kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ugani Anfield tangu Oktoba...

Brighton yadhalilisha Man-United katika pambano la EPL uwanjani Amex

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walidhalilishwa na Brighton kwa kichapo cha 4-0 ugani Amex katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza ambayo...

Brentford yazamisha chombo cha Southampton katika EPL

Na MASHIRIKA MABAO mawili katika sekunde 79 za kipindi cha kwanza yaliwezesha Brentford kusajili ushindi muhimu wa 3-0 katika Ligi Kuu...

NYOTA WA WIKI: Ciro Immobile

NA GEOFFREY ANENE CIRO Immobile anaongoza katika kutesa makipa kwenye Ligi Kuu ya Italia (Serie A) msimu huu. Mchezaji huyo, ambaye...

Liverpool vs Spurs patachimbika leo!

NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA LIVERPOOL na Tottenham Hotspur watakutana ugani Anfield leo Jumamosi kila mmoja akitumai kuharibia...

Kocha wa Ingwe kuteremsha uwanjani kikosi kikali dhidi ya K’Ogalo

NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Patrick Aussems ameahidi kuteremsha uwanjani kikosi imara cha kuvuruga matumaini ya Gor Mahia kesho Jumapili...

Wakufunzi Mikel Arteta na Jonas Eidevall watia saini kandarasi mpya kambini mwa Arsenal

NA MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta wa timu ya wanaume kambini mwa Arsenal na mwenzake Jonas Eidevall wa kikosi cha wanawake, wametia saini...

AS Roma yazamisha Leicester City na kutinga fainali ya Europa Conference League

Na MASHIRIKA LEICESTER City walikosa kufuzu kwa fainali ya kipute kipya cha Europa Conference League baada ya AS Roma kuwapokeza kichapo...

Rangers wadengua RB Leipzig na kufuzu kwa fainali ya Europa League

Na MASHIRIKA RANGERS watavaana na Eintracht Frankfurt kwenye fainali ya Europa League msimu huu. Hii ni baada ya kikosi hicho cha Ligi...

Wasichana wa Kenya waendelea kung’aria wapinzani tenisi ya U14 na U16 Kigali

Na GEOFFREY ANENE WASICHANA kutoka Kenya waliendelea kufanya vyema katika mashindano ya tenisi ya Afrika Mashariki ya wachezaji...

Jesse Lingard aamua kuondoka Man-United mwishoni mwa msimu huu

Na MASHIRIKA KIUNGO Jesse Lingard amefikia maamuzi ya kuagana na Manchester United mwishoni mwa msimu huu wa 2021-22 baada ya kuhisi...