• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 12:26 PM

Jezi ya ‘Hand of God’ ya Maradona yazoa Sh1.1 bilioni mnadani

Na MASHIRIKA JEZI iliyovaliwa na aliyekuwa mwanasoka nguli wa Argentina, Diego Maradona alipofunga bao kwa mkono almaarufu ‘Hand of...

Real Madrid yang’oa Man-City na kufuzu kuvaana na Liverpool kwenye fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA REAL Madrid watakutana na Liverpool kwenye fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) baada ya kutoka nyuma na kusajili ushindi...

Mshindi wa Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza msimu huu kujulikana siku ya mwisho baada ya Arsenal kupepeta Spurs

Na MASHIRIKA MSHINDI wa Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake nchini Uingereza (WSL) msimu huu atajulikana katika siku ya mwisho ya...

Mwamerika Kerley amchongoa Omanyala kiujanja kuwa hana medali

Na GEOFFREY ANENE FRED Kerley anaonekana kumchongoa Mkenya Ferdinand Omanyala kiujanja kwa kusema kuwa medali ni muhimu katika...

Kisasi tupu leo Real ikialika City

NA MASHIRIKA MADRID, Uhispania REAL Madrid watakuwa nyumbani ugani Santiago Bernabeu kukabiliana na Manchester City katika mechi ya...

Liverpool yadengua Villarreal ya Uhispania na kutinga fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakutana na Manchester City au Real Madrid kwenye fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) itakayochezewa mnamo Mei...

Sporty FC yajipatia miaka sita itinge Ligi Kuu ya Kenya

NA JOHN KIMWERE SPORTY FC ni kati ya vikosi 17 vinavyoshiriki mechi za Kundi B Ligi ya Kanda ya Kati (Central Regional League) kuwania...

Man-United wararua Brentford katika EPL uwanjani Old Trafford

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walisajili ushindi mnono zaidi chini ya kocha mshikilizi Ralf Rangnick kwa kupepeta Brentford 3-0 mnamo...

Vipusa wafuzu tenisi ya Afrika

NA GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya tenisi ya Kenya ilirejea nyumbani Jumatatu jioni kutoka nchini Rwanda ambako ilivuna medali ya...

Mshindi wa EPL msimu huu huenda akapatikana katika wiki ya mwisho – Pep Guardiola

Na MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola amesema huenda mshindi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu akapatikana katika wiki ya...

Arsenal wakomoa West Ham United ugenini na kurejea nne-bora EPL

Na MASHIRIKA ARSENAL walipepeta West Ham United 2-1 uwanjani London Stadium mnamo Jumapili na kurejea katika nafasi ya nne kwenye...

Kiganjo Kings inalenga kupanda ngazi msimu huu

NA JOHN KIMWERE LICHA ya kuwa Kiganjo Kings FC inapitia changamoto nyingi za kifedha, ni miongoni mwa vikosi vinavyolenga kupambana...