• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Ivory Coast wampiga kalamu kocha Patrice Beaumelle

Na MASHIRIKA SHIRIKISHO la Soka la Ivory Coast (FIF) limemtimua kocha Patrice Beaumelle baada ya mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 43...

Mechi za raundi ya nne kupigwa wiki ijayo- Volioboli

Na JOHN KIMWERE MECHI za raundi ya nne za voliboli ya Ligi Kuu ya wanaume zimeratibiwa kuchezwa wiki ijayo uwanjani Nyayo Stadium,...

Mkenya Ouna namba nne bora nchini Rwanda

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa zamani wa Wazito FC na Mathare United, Frank 'Furo' Ouna ameorodheshwa nafasi ya nne kwa wakufunzi bora kwenye...

Barcelona yakomoa Levante na kuingia nafasi ya pili La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA waliendeleza makali yao katika kampeni za Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu kwa kutoka nyuma na kuzamisha...

Maafande wa Kenya Police wazima MSC

Na JOHN KIMWERE WAFALME wa zamani katika mpira wa magongo, Kenya Police walikung'uta Mombasa Sports Club (MSC) mabao 3-0 kwenye mechi ya...

Brentford yazamisha chombo cha West Ham United ligini

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya West Ham United kukamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ndani ya orodha ya nne-bora msimu huu...

Alenga kuwa Eluid Kipchoge wa usoni licha ya fani kuchangamsha na kuimarisha afya

Na PATRICK KILAVUKA Michezo huchangamsha mhusika na kumpelekea pia kuimarisha afya mbali na kujigundua zaidi katika fani...

Winavishale wa Bode la Ufa wahifadhi taji la Inter Prisons

Na JOHN KIMWERE NAHODHA wa timu ya vishale ya Mkoa wa Bode la Ufa (Rift Valley), Wilson Chumek amepongeza wachezaji wake baada ya...

Ulinzi Starlets yaipiga Vihiga Queens breki

Na JOHN KIMWERE ULINZI Starlets imetoka nguvu sawa bao 1-1 dhidi ya Vihiga Queens na kuibuka timu ya pili kuvuna alama moja mbele ya...

Timu ya Zetech Rugby yaonyesha ubingwa wake

Na LAWRENCE ONGARO TIMU ya Rugby ya Zetech Oaks imeonyesha ubingwa wake na kuibuka washindi katika eneo la kati. Kocha wa timu hiyo...

Kenya Open ya kulenga shabaha kwa bastola yavutia nchi 10

Na AYUMBA AYODI MATAIFA 10 yamethibitisha kushiriki mashindano ya kiwango cha tatu ya Kenya Open ya ulengaji shabaha kwa kutumia bunduki...

Man-City na Liverpool bado unyo kwa unyo katika EPL baada ya kuambulia sare ya 2-2 ugani Etihad

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walidumisha pengo la alama moja kati yao na Liverpool kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...