Na MASHIRIKA SHIRIKISHO la Soka la Ivory Coast (FIF) limemtimua kocha Patrice Beaumelle baada ya mkufunzi huyo mwenye umri wa miaka 43...
Na JOHN KIMWERE MECHI za raundi ya nne za voliboli ya Ligi Kuu ya wanaume zimeratibiwa kuchezwa wiki ijayo uwanjani Nyayo Stadium,...
Na JOHN KIMWERE KOCHA wa zamani wa Wazito FC na Mathare United, Frank 'Furo' Ouna ameorodheshwa nafasi ya nne kwa wakufunzi bora kwenye...
Na MASHIRIKA BARCELONA waliendeleza makali yao katika kampeni za Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) msimu huu kwa kutoka nyuma na kuzamisha...
Na JOHN KIMWERE WAFALME wa zamani katika mpira wa magongo, Kenya Police walikung'uta Mombasa Sports Club (MSC) mabao 3-0 kwenye mechi ya...
Na MASHIRIKA MATUMAINI ya West Ham United kukamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ndani ya orodha ya nne-bora msimu huu...
Na PATRICK KILAVUKA Michezo huchangamsha mhusika na kumpelekea pia kuimarisha afya mbali na kujigundua zaidi katika fani...
Na JOHN KIMWERE NAHODHA wa timu ya vishale ya Mkoa wa Bode la Ufa (Rift Valley), Wilson Chumek amepongeza wachezaji wake baada ya...
Na JOHN KIMWERE ULINZI Starlets imetoka nguvu sawa bao 1-1 dhidi ya Vihiga Queens na kuibuka timu ya pili kuvuna alama moja mbele ya...
Na LAWRENCE ONGARO TIMU ya Rugby ya Zetech Oaks imeonyesha ubingwa wake na kuibuka washindi katika eneo la kati. Kocha wa timu hiyo...
Na AYUMBA AYODI MATAIFA 10 yamethibitisha kushiriki mashindano ya kiwango cha tatu ya Kenya Open ya ulengaji shabaha kwa kutumia bunduki...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City walidumisha pengo la alama moja kati yao na Liverpool kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL)...