• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 4:50 PM

Manchester United sasa waamua kocha wao mpya atakuwa Erik ten Hag wa Ajax

Na MASHIRIKA MANCHESTER United wamefichua kwamba kocha wa Ajax, Erik ten Hag ndiye ataachiwa mikoba yao ya ukufunzi baada ya Ralf...

Villarreal yaduwaza Bayern Munich katika mkondo wa kwanza wa robo-fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA FOWADI wa zamani wa Bournemouth, Arnaut Danjuma alifunga bao la pekee lililowawezesha waajiri wake Villarreal kuduwaza...

Jezi ya ‘Hand of God’ ya Maradona sasa kupigwa mnada kwa Sh624 milioni

Na MASHIRIKA JEZI iliyovaliwa na aliyekuwa nyota wa Argentina, Diego Maradona alipofunga bao kwa mkono almaarufu ‘Hand of God goal’...

Chelsea pembamba katika UEFA baada ya Real kuwatandika katika mkondo wa kwanza wa robo-fainali ugani Stamford Bridge

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Chelsea kuhifadhi taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu yalididimizwa na Real Madrid kwa kichapo cha 3-1...

Achraf Hakimi na Wahbi Khazri miongoni mwa wawaniaji 12 wa tuzo ya Marc-Vivien Foe

Na MASHIRIKA BEKI wa kulia wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi na kiungo wa Saint-Etienne na timu ya...

Kocha Ronald Koeman kunoa tena timu ya taifa ya Uholanzi baada ya fainali za Kombe la Dunia za 2022 nchini Qatar

Na MASHIRIKA KOCHA Ronald Koeman atakuwa mkufunzi wa timu ya taifa ya Uholanzi kwa mara ya pili baada ya kukamilika kwa fainali za Kombe...

Chelsea, Real Madrid vitani Uefa

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza CHELSEA walichapwa 4-1 na Brentford ligini ugani Stamford Bridge mwishoni mwa wiki, lakini matokeo...

Liverpool guu moja ndani ya 4-bora UEFA baada ya kutandika Benfica katika raundi ya kwanza ya robo-fainali ugenini

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walitia guu moja ndani ya nusu-fainali za Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) baada ya kukomoa Benfica ya Ureno 3-1 katika...

Man-City wazamisha Atletico katika mkondo wa kwanza wa robo-fainali ya UEFA ugani Etihad

Na MASHIRIKA BAO la kipindi cha pili kutoka kwa Kevin de Bruyne liliwapa Manchester City ushindi wa 1-0 dhidi ya Atletico Madrid ya...

Beki chipukizi anayelenga kufikia ubora wa Sergio Ramos wa PSG

NA PATRICK KILAVUKA ANASEMA nidhamu na mfumo wa uchezaji wa Sergio Ramos wa Paris Saint-Germain (PSG) ni kati ya mambo ambayo...

Vishale: Wycliffe, Sakawa wakiri kupata upinzani mkali

Na JOHN KIMWERE WYCLIFFE 'Onetouch' Omariba na Selina Sakawa warusha vishale mahiri nchini kitengo cha wanaume na wanawake mtawalia...

Matokeo mseto yalishuhudiwa ya ligi za Kaunti na Kaunti ndogo

Na PATRICK KILAVUKA  Olympic ilifunza soka FC Talents kwa kuirambisha 4-0 katika mojawapo wa matokeo mseto ya ligi ya Kaunti ya...